Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,302
- 9,095
uli nkafu kighane kyangu...
ndinkafu! Nalimmbine panande, unkasi mwinangu nkafu?
uli nkafu kighane kyangu...
Chimbuvu ana hamu kweli ndoa yangu ivunjike ili nirudiane nae
tatizo pacha mimi na wewe tunafanana sana ndiyo maana shemeji akiniona nipo na Arushaone anaona wivu maana anahisi kama ni wewe vile ndio ukonae
wewe una kijiba cha roho, na ndiye unayechangia kwa kiasi kikubwa humu mjengoni ndoa za cc kuvunjika, na ndiye bazazi mzoefu usiye na daawa hivyo tumekutambua kuwa wewe mchonganishi hivi hujui kuwa sweetlady na Lady doctor ni mtu na binamu yake? Baba V wala usivunje kwani hao wameshaungana hakuna mwanadamu atakayewatenganisha
sasa kama ni hivyo
si angetuoaga wote,mbona
alinioa peke yangu,atulie huko!!
umemuona shemejio?yumo huku!!tena atuache kila mtu aleraha kimpango wake.
honey hayo ni maneno ya watu
pacha wangu yupo fungateni na anafuraha tele
wameomba tukawatembelee hotelini baadae!!
By Elizabethdominic senior correspondent jf udaku.
Ndoa ya Arushaone na Lady doctor yavunjika usiku wa manane.
Ile ndoa iliyofungwa kwa mbwembwe na majigambo kati ya fisadi papa Arushaone na former miss temeke Lady doctor imesambaratika jumla.Ilikuwa hivi:
Baada ya kuingia chumbani baada ya shamra shamra Arushaone alianza kulia 'kulikoni?' Akaulizwa na bi harusi, 'sina kikojoleo' akajibu bwana harusi, 'what,unantania,embu vua nione', akavua kweli kuna katobo tu,' ' what happened? Akauliza Lady doctor. Ngoja nikwambie ukweli mke wangu,akasema Arushaone, ' kipindi kile nimemwacha sweetlady kwa hasira aliniendea nanjilinji matokeo yake alikuja panya akaninyofoa dushelele ndo nikabakia hivi" Kusikia hivo Lady doctor hakuwa na la ziada zaidi ya kupakia begi na kutokomea,asubuhi kaonekana ngaramtoni akiwa na Erickb52 na Nicas Mtei wanafakamia thubu.
Habari zaidi tukishamhoji Arushaone
Cc: Baba V ....futa hii ndoa kwenye daftari
Ruttashobolwa una nini nami? FYI ndoa yangu na Lady doctor ni takatifu na iko imara kama CHADEMA.daaa namuonea huruma sana shem Lady doctor
View attachment 101325
Kasheshe ilianzia hapa Bishanga.. Arushaone alijipapasa hakuona kitu.. Lady doctor alivyogeuka na kumuuliza nini Arushaone akajifanya ati alikuwa anafunga zipu lol.. Masikini angejua angetoka nduki hapa.. Watu wasingejua kama kifanyio chake kimefyekwa..
daaa namuonea huruma sana shem Lady doctor
Ruttashobolwa una nini nami? FYI ndoa yangu na Lady doctor ni takatifu na iko imara kama CHADEMA.
Wewe uliyetoa taarifa hizo ni mmbea, mimi sikukimbia kabisaa.... na sababu hiyo uliyotajahapo juu ni uongo mtupu..!
Arushaone nilimkuta na viungo vyake vyote tena amekamilika haswaa na ameniridhisha kabisaa kamwe sijutii kuwa nae, nampenda na nitampenda daima.
I LOVE U SO MUCH Arushaone
Cc: Bishanga Chimbuvu Himidini Steven Robert Masatu Baba V Nicas Mtei Mr Rocky Slave na tedo