AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
Asee mbona nimepita hapo sasa havi naona magari yapo shazi kama siku zote za friday??
Au ni calabash nyingine mkuu!!
kuna mmoja hapo juu kasema inaweza kuwa magogoni
Asee mbona nimepita hapo sasa havi naona magari yapo shazi kama siku zote za friday??
Au ni calabash nyingine mkuu!!
Mkuu bar nyingi zinatoa huduma za chakula mchana hivyo si ajabu watu kwenda kujipatia chakula na soft drinks ama hata maongezi mafupi..ungekuwapo hapo sijui ungesema maneno haya?WALEVI WA MCHANA HAO,BIA UNAKUNYWA SAA KUMI??INASHUKA KWELI BIA USIKU TENA BIA MBILI AU TATU ZINATOSHA TATIZO MALIMBUKENI MNATAKA KUNYWA KUANZIA SAA MBILI ASUBUHI MPAKA SAA MBILI ASUBUHI JUMAMOSI ETI WIKEND MNAKULA BATA MPAKA KUKU AONE WIVU HAYA SEMENI NA KINA AFANDE AHMED MSANGI SASA NA LaZIMA WAWAPIGE VIWALET NA VYIM VYENU
Kwa taarifa nilizozipata na ku-confirm ni kwamba Majambazi kadhaa wamevamia Calabash na kuumiza watu kwa risasi, ndugu yangu ni mmoja wa watu waliojeruhiwa na sasa tunaelekea Muhimbili. More to come nikishafika eneo la tukio.
N:B: kutokana na comments za watu naomba kuweka sawa records kuwa, huyu hakupigwa risasi kwakua alikua bar anakunywa, Lah hasha alipatwa na mkasa huu kwasababu tu yuko jirani na pale na alikua katika kujitafutia riziki, si kila mtu akipatwa na tatizo bar basi alikua anakunywa.
Calabash ni Bar maarufu sana pale maeneo ya mwenge-Dar es Salaam.
WALEVI WA MCHANA HAO,BIA UNAKUNYWA SAA KUMI??INASHUKA KWELI BIA USIKU TENA BIA MBILI AU TATU ZINATOSHA TATIZO MALIMBUKENI MNATAKA KUNYWA KUANZIA SAA MBILI ASUBUHI MPAKA SAA MBILI ASUBUHI JUMAMOSI ETI WIKEND MNAKULA BATA MPAKA KUKU AONE WIVU HAYA SEMENI NA KINA AFANDE AHMED MSANGI SASA NA LaZIMA WAWAPIGE VIWALET NA VYIM VYENU
wewe ndo una set standards za starehe za watu??
mkuu bar nyingi zinatoa huduma za chakula mchana hivyo si ajabu watu kwenda kujipatia chakula na soft drinks ama hata maongezi mafupi..ungekuwapo hapo sijui ungesema maneno haya?
..........watu wengine bana !:second:Calabash ni kanisa au??ni kitu gani hiki au uwanja wa Taifa au IKULU??ningefurahije kama Calabash ni magogoni>??wamevamiwa leo saa ngapi kwa nini wameua ,wamepiga au wamejeruhi wangapi??wameteka Daktari yoyote hapo au wamechukua walet na sim??
..........watu wengine bana !:second:
Kama ni kweli, hao majambazi wana uthubutu wa aina gani kuweza kuvamia sehemu iliyo wazi hivyo bila hofu?
Manake huwezi kujua humo ndani nani ana silaha na nani hana.....wana ujasiri gani hao majambazi?
unakula baaa hujaoa nyie ndio mnaeneza ukimwa hapa nchini ,oa ukale kwako baa bia tuu na wisk nyambaf
..........watu wengine bana !:second:
Na siku ya leo ile Bendi maarufu Grumeti ambayo inaburudisha katika kiota hicho NYOTE MNAKARIBISHWA!