Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,037
Kwa taarifa nilizozipata na ku-confirm ni kwamba Majambazi kadhaa wamevamia Calabash na kuumiza watu kwa risasi, ndugu yangu ni mmoja wa watu waliojeruhiwa na sasa tunaelekea Muhimbili. More to come nikishafika eneo la tukio.
N:B: kutokana na comments za watu naomba kuweka sawa records kuwa, huyu hakupigwa risasi kwakua alikua bar anakunywa, Lah hasha alipatwa na mkasa huu kwasababu tu yuko jirani na pale na alikua katika kujitafutia riziki, si kila mtu akipatwa na tatizo bar basi alikua anakunywa.
Calabash ni Bar maarufu sana pale maeneo ya mwenge-Dar es Salaam.
N:B: kutokana na comments za watu naomba kuweka sawa records kuwa, huyu hakupigwa risasi kwakua alikua bar anakunywa, Lah hasha alipatwa na mkasa huu kwasababu tu yuko jirani na pale na alikua katika kujitafutia riziki, si kila mtu akipatwa na tatizo bar basi alikua anakunywa.
Calabash ni Bar maarufu sana pale maeneo ya mwenge-Dar es Salaam.