Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,700
unakula baaa hujaoa nyie ndio mnaeneza ukimwa hapa nchini ,oa ukale kwako baa bia tuu na wisk nyambaf
Hata kama unakaa kibamba na unafanya kazi posta, utarudi nyumbani kula? Acha hizo..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unakula baaa hujaoa nyie ndio mnaeneza ukimwa hapa nchini ,oa ukale kwako baa bia tuu na wisk nyambaf
Nadhani yeye ndo kalewa mchanaHata kama unakaa kibamba na unafanya kazi posta, utarudi nyumbani kula? Acha hizo..
Sawa Mkuu..na wanaovamiwa makanisani wakiwa kwemye ibada jeunakula baaa hujaoa nyie ndio mnaeneza ukimwa hapa nchini ,oa ukale kwako baa bia tuu na wisk nyambaf
Kwa taarifa nilizozipata na ku-confirm ni kwamba Majambazi kadhaa wamevamia Calabash na kuumiza watu kwa risasi, ndugu yangu ni mmoja wa watu waliojeruhiwa na sasa tunaelekea Muhimbili. More to come nikishafika eneo la tukio.
Nauliza tu,je mgomo umeisha???????huko mui2
N:B: kutokana na comments za watu naomba kuweka sawa records kuwa, huyu hakupigwa risasi kwakua alikua bar anakunywa, Lah hasha alipatwa na mkasa huu kwasababu tu yuko jirani na pale na alikua katika kujitafutia riziki, si kila mtu akipatwa na tatizo bar basi alikua anakunywa.
Calabash ni Bar maarufu sana pale maeneo ya mwenge-Dar es Salaam.
updates ni kwamba risasi bado haijatolewa na wanajaribu kutoa damu chafu
updates ni kwamba risasi bado haijatolewa na wanajaribu kutoa damu chafu
updates ni kwamba risasi bado haijatolewa na wanajaribu kutoa damu chafu
Jamani mgomo bado upo yaani kibasila ward nzima wagonjwa hawafiki hata kumi? au wagonjwa wote wamepona ghafla? inatisha
Mbona unajichanganya. Mara unasema mgomo bado upo mara unasema WANAJARIBU kumtoa risasi. Wanaojaribu kumtoa risasi siyo madaktari? Halafu huwezi kupima mgomo kwa kuangalia attendance ya wagonjwa bali angalia attendance ya madaktari. Kama wagonjwa hakuna basi ni mgomo wa WAGONJWA