KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
Mi nilitaraji kuwa mitihani ya kidacho cha sita ingefanyika november ili matokeo yao yatoke february na wajiunge na vyuo august. cha kushangaza wanaturudisha may! au ndo mpango wa kuwapeleka JKT vijana kwa lazima unaivishwa?