Brazamen yuko club kalewa anayumba...

Brazamen yuko club kalewa anayumba...

Naona maneno yako yamemuibua kichakani. Sababu toka sakata la Mo hajibu quote za watu.

CC. OKW BOBAN SUNZU
Alivunjika moyo kwa maneno ya kina Shafi Dauda lakini labda nimpe moyo tu kua Simba itabaki kua imara na msimu huu pia tunanyakua TPL na kule kwenye ligi ya mabingwa tutatingisha vilivyo

Maneno yangu kumhusu Shadeeya yamemuibua kwasababu hayana chembe ya uongo kabisaaa, yaani ni haki bin haki
 
Hujakosa hata ukiwa na afya njema ni neema,tena ni neema kubwa sana. Unachotakiwa ni kumuomba Mola wako na kama ukiomba malia basi omba mali ambayo itakuwa na kheri na wewe.

Nipo ......
Maneno makubwa maneno mazuri sana haya, nakubaliana nawe asilimia mia moja mkuu
 
Mwenza kwa nini unazoeana na watoto cheki walivyokosa adabu
Mwenza acha tu, huwa najitahidi sana nisizoeane na watoto humu ila ndio hivyo tena ajali hutokea.
 
Back
Top Bottom