Acha wivu. Kwa tunayemjua huyo mtoto ni beauty tangia mdogo. Mtoto wa Mama Abdala aliyekuwa afisa utumishi mkuu wa mahakama kuu. Mtoo amepiga degree yake ya sheria pale mlimani na hana wasiwasi na maisha. Kwenye urembo mpeni credits zake. Kaka kachagua!
..the girl is cute...
..mkaka si mbaya.
They are rich!
Gosh i hope they are happy too.