jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
Mkuu Hofstede,ccm ina award negativity...W @ NYC usiniambie na wewe una myopia juu ya vyama vya siasa. Hivi chama ni nini hasa? si ni watu, kama Ariel Sharon aliachana na Likud na kuanzisha Kadima na kushinda, Berlusconi alianzisha chama chake na baada ya mwaka akachukua nchi, sidhani kama watu makini ndani ya CCM hawawezi kufanya hivyo kama hawaoni chama mbadala. Tatizo lenu ndani ya CCM ni unafiki, watu hawakubaliani na CCM ila wamo tu ili mkono uende kinywani.
Hata kamanda wetu huyu anajuwa,tunajuwa misimamo yake ya awali.
Hata Nape mwenyewe akiwa India,it was different...
Hata hao maprofessor ie Palamagamba, kila siku watu wanalalama kuwa walikuwa hivi ama vile lakini now they are different.
Same with Nape akiwa India vs now!
Same with maaskari wanaouwa wananchi ama kupiga mabomu mengi ya machozi dihidi ya wananchi, ticket yake ni more promotion,mifano mingi tu kuanzia kina Mahita,Chicco etc.
Hivyo you can see the trend base on ccm's promotions on injustices,hiyo inapelekea wengi ku act more negatively towards justice.