Kwanini usianzishe tutakachokiamini? Acha deko kuwa mwanaume kwani baba kama hajajenga nyumba na wewe lazima ulale barabarani kama baba?
Asente kwa kujibu kama nilivyotaka kufanya kwa huyu mvivu wa kufikiri
Kwanini usianzishe tutakachokiamini? Acha deko kuwa mwanaume kwani baba kama hajajenga nyumba na wewe lazima ulale barabarani kama baba?
Well, Mnyonge mnyongeni kwenye hili la kugomea Katiba ninawaunga mkono wabunge wa Chadema kwa 100%, I mean Serikali ya chama changu CCM tufike mahali tulijali taifa at large badala ya kujijali sana sisi, sio siri katiba tuliyonayo sasa iliundwa zamani sana kukidhi mahitaji ya chama kimoja, sasa wakati umefika wa kuibadilisha ili ikidhi mahitaji ya vyama vingi tulivyonavyo na hasa UWAJIBIKAJI WA VIONGOZI WA JUU NA CHINI WA TAIFA!
- Binafsi nimekuwa nikiwakemea sana Chadema kwa makosa ya kina Mtei, huko mwanzoni ya kukubali kuanzishwa siasa ya vyama vingi under Katiba ya Chama kimoja, now ninashukuru kwamba this time wameliona hilo kwamba wananchi tumechoshwa na kuuuziana mbuzi kwenye gunia, CCM tuache uoga na kukubali kwamba kwenye hili la katiba ni lazima tubadilishe katiba au else, I mean sometimes enough inakuwa enough!
- KWA HILI LA KATIBA BRAVO CHADEMA TUPO WOTE!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharia!
well said mkuu. ila, uliwasiliana na nape akupe info zaid kabla hujapost?Well, Mnyonge mnyongeni kwenye hili la kugomea Katiba ninawaunga mkono wabunge wa Chadema kwa 100%, I mean Serikali ya chama changu CCM tufike mahali tulijali taifa at large badala ya kujijali sana sisi, sio siri katiba tuliyonayo sasa iliundwa zamani sana kukidhi mahitaji ya chama kimoja, sasa wakati umefika wa kuibadilisha ili ikidhi mahitaji ya vyama vingi tulivyonavyo na hasa UWAJIBIKAJI WA VIONGOZI WA JUU NA CHINI WA TAIFA!
- Binafsi nimekuwa nikiwakemea sana Chadema kwa makosa ya kina Mtei, huko mwanzoni ya kukubali kuanzishwa siasa ya vyama vingi under Katiba ya Chama kimoja, now ninashukuru kwamba this time wameliona hilo kwamba wananchi tumechoshwa na kuuuziana mbuzi kwenye gunia, CCM tuache uoga na kukubali kwamba kwenye hili la katiba ni lazima tubadilishe katiba au else, I mean sometimes enough inakuwa enough!
- KWA HILI LA KATIBA BRAVO CHADEMA TUPO WOTE!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharia!
Mkuu unamaanisha kuliko kwenda upinzani ni bora ubaki CCM?
- Tatizo ni kwamba hakuna alternative, yaani chama kingine cha kukiamini!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharias!
Well, Mnyonge mnyongeni kwenye hili la kugomea Katiba ninawaunga mkono wabunge wa Chadema kwa 100%, I mean Serikali ya chama changu CCM tufike mahali tulijali taifa at large badala ya kujijali sana sisi, sio siri katiba tuliyonayo sasa iliundwa zamani sana kukidhi mahitaji ya chama kimoja, sasa wakati umefika wa kuibadilisha ili ikidhi mahitaji ya vyama vingi tulivyonavyo na hasa UWAJIBIKAJI WA VIONGOZI WA JUU NA CHINI WA TAIFA!
- Binafsi nimekuwa nikiwakemea sana Chadema kwa makosa ya kina Mtei, huko mwanzoni ya kukubali kuanzishwa siasa ya vyama vingi under Katiba ya Chama kimoja, now ninashukuru kwamba this time wameliona hilo kwamba wananchi tumechoshwa na kuuuziana mbuzi kwenye gunia, CCM tuache uoga na kukubali kwamba kwenye hili la katiba ni lazima tubadilishe katiba au else, I mean sometimes enough inakuwa enough!
- KWA HILI LA KATIBA BRAVO CHADEMA TUPO WOTE!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharia!
- Tatizo ni kwamba hakuna alternative, yaani chama kingine cha kukiamini!
William @ NYC, USA: Le Mutuz Baharias!