Brand manager na digital marketing na content creator wa wasafi soap mnaua biashara ya izo sabuni

Brand manager na digital marketing na content creator wa wasafi soap mnaua biashara ya izo sabuni

Big dady 11

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2023
Posts
265
Reaction score
261
Naomba kuwasilisha hili wakuu

Hivi karbuni msanii diamond alizindua bidhaa yake mpya ya wasafi soap.( Kuhusu ni Yale au sio yake ilo alinihusu)

Baada ya uzinduz huo kumekuwa na shot clip videos nyingi za matangazo za kuitangaza sabuni iyo. Kitu ambazo ni kizuri in digital marketing, bidhaa iende mjini..

Ila shida inakuja je unatengeneza matangazo ya Aina gani kwa jamii gani na unataget wateja wa Aina gan?

Matangazo meng ya wasafi soap hayapo creative kitu ambazo kitafanya ata mtu mzima mwenye heshima zake ashindwa kununua iyo sabuni na kutembea nayo mtaani.

Content za matangazo ya wasafi soap yote yapo kingono ngono na mengine ni mauno tu na vigoma..

Mwsho wa siku matangazo ya wasafi soap hayana tofaut na matangazo ya condom ..

Content creator tengenezeni tangazo bila kuonyesha kalio bila bila kuzungumzia ngono..

Hata kama unalenga kuwafikia sana vijana au watu wa uswazi Kuna content nyingi za matangazo za kuwafikia.(Kaa chini umiza kichwa content zipo nyingi sana za matangazo ya sabuni.

Ila mkiendelea na ubunifu huo na mkaona ndio matangazo sahihi ya sabuni bas hizo sabuni ad uchaguz wa oktoba tutakuwa tushazisahau na hazitakuwa na soko.

Vipi wewe unaweza kutembea na mche wa Wasafi Soap kutoka nao dukani ad kwako bila kuuficha kwny mfuko mwngne??

Kwa mnahitaji ya;
Photographer.
Videographer.
Content creator.
Graphics designer.
Digital marketer.
0692477610
 
Content za matangazo ya wasafi soap yote yapo kingono ngono na mengine ni mauno tu na vigoma..
Upo sahihi mno, naona clip nyingi za matangazo maudhui yake yanaashiria kama hizo sabuni ni maalum kwa kujichulia.

Athari ya hili ni kufanya hii sabuni kama kitu cha kihuni hivyo kutengwa na watu wenye staha zao ambao ndio hasa wanunuzi.
 
Naomba kuwasilisha hili wakuu

Hivi karbuni msanii diamond alizindua bidhaa yake mpya ya wasafi soap.( Kuhusu ni Yale au sio yake ilo alinihusu)

Baada ya uzinduz huo kumekuwa na shot clip videos nyingi za matangazo za kuitangaza sabuni iyo. Kitu ambazo ni kizuri in digital marketing, bidhaa iende mjini..

Ila shida inakuja je unatengeneza matangazo ya Aina gani kwa jamii gani na unataget wateja wa Aina gan?

Matangazo meng ya wasafi soap hayapo creative kitu ambazo kitafanya ata mtu mzima mwenye heshima zake ashindwa kununua iyo sabuni na kutembea nayo mtaani.

Content za matangazo ya wasafi soap yote yapo kingono ngono na mengine ni mauno tu na vigoma..

Mwsho wa siku matangazo ya wasafi soap hayana tofaut na matangazo ya condom ..

Content creator tengenezeni tangazo bila kuonyesha kalio bila bila kuzungumzia ngono..

Hata kama unalenga kuwafikia sana vijana au watu wa uswazi Kuna content nyingi za matangazo za kuwafikia.(Kaa chini umiza kichwa content zipo nyingi sana za matangazo ya sabuni.

Ila mkiendelea na ubunifu huo na mkaona ndio matangazo sahihi ya sabuni bas hizo sabuni ad uchaguz wa oktoba tutakuwa tushazisahau na hazitakuwa na soko.

Vipi wewe unaweza kutembea na mche wa Wasafi Soap kutoka nao dukani ad kwako bila kuuficha kwny mfuko mwngne??

Kwa mnahitaji ya;
Photographer.
Videographer.
Content creator.
Graphics designer.
Digital marketer.
0692477610
Asanteee kwa bango
Thanks for the banner 🫵🫵🫵
 
Upo sahihi mno, naona clip nyingi za matangazo maudhui yake yanaashiria kama hizo sabuni ni maalum kwa kujichulia.

Athari ya hili ni kufanya hii sabuni kama kitu cha kihuni hivyo kutengwa na watu wenye staha zao ambao ndio hasa wanunuzi.
Ni kwel kabisa
 
Naomba kuwasilisha hili wakuu

Hivi karbuni msanii diamond alizindua bidhaa yake mpya ya wasafi soap.( Kuhusu ni Yale au sio yake ilo alinihusu)

Baada ya uzinduz huo kumekuwa na shot clip videos nyingi za matangazo za kuitangaza sabuni iyo. Kitu ambazo ni kizuri in digital marketing, bidhaa iende mjini..

Ila shida inakuja je unatengeneza matangazo ya Aina gani kwa jamii gani na unataget wateja wa Aina gan?

Matangazo meng ya wasafi soap hayapo creative kitu ambazo kitafanya ata mtu mzima mwenye heshima zake ashindwa kununua iyo sabuni na kutembea nayo mtaani.

Content za matangazo ya wasafi soap yote yapo kingono ngono na mengine ni mauno tu na vigoma..

Mwsho wa siku matangazo ya wasafi soap hayana tofaut na matangazo ya condom ..

Content creator tengenezeni tangazo bila kuonyesha kalio bila bila kuzungumzia ngono..

Hata kama unalenga kuwafikia sana vijana au watu wa uswazi Kuna content nyingi za matangazo za kuwafikia.(Kaa chini umiza kichwa content zipo nyingi sana za matangazo ya sabuni.

Ila mkiendelea na ubunifu huo na mkaona ndio matangazo sahihi ya sabuni bas hizo sabuni ad uchaguz wa oktoba tutakuwa tushazisahau na hazitakuwa na soko.

Vipi wewe unaweza kutembea na mche wa Wasafi Soap kutoka nao dukani ad kwako bila kuuficha kwny mfuko mwngne??

Kwa mnahitaji ya;
Photographer.
Videographer.
Content creator.
Graphics designer.
Digital marketer.
0692477610
Safi sana mkuu, naona umewapiga kofi ukawaomba na risiti, very good
 
Juzi nikiwa kwenye daladala ilikuwa imefunguliwa Wasafi fm nasikia tu wanainadi kwamba ina povu jingi na utelezi wa kutosha.
ilikuwa wakiisifia Kwamba inafaa kwa punyeto. Japo haikuwa moja kwa moja.
 
Naomba kuwasilisha hili wakuu

Hivi karbuni msanii diamond alizindua bidhaa yake mpya ya wasafi soap.( Kuhusu ni Yale au sio yake ilo alinihusu)

Baada ya uzinduz huo kumekuwa na shot clip videos nyingi za matangazo za kuitangaza sabuni iyo. Kitu ambazo ni kizuri in digital marketing, bidhaa iende mjini..

Ila shida inakuja je unatengeneza matangazo ya Aina gani kwa jamii gani na unataget wateja wa Aina gan?

Matangazo meng ya wasafi soap hayapo creative kitu ambazo kitafanya ata mtu mzima mwenye heshima zake ashindwa kununua iyo sabuni na kutembea nayo mtaani.

Content za matangazo ya wasafi soap yote yapo kingono ngono na mengine ni mauno tu na vigoma..

Mwsho wa siku matangazo ya wasafi soap hayana tofaut na matangazo ya condom ..

Content creator tengenezeni tangazo bila kuonyesha kalio bila bila kuzungumzia ngono..

Hata kama unalenga kuwafikia sana vijana au watu wa uswazi Kuna content nyingi za matangazo za kuwafikia.(Kaa chini umiza kichwa content zipo nyingi sana za matangazo ya sabuni.

Ila mkiendelea na ubunifu huo na mkaona ndio matangazo sahihi ya sabuni bas hizo sabuni ad uchaguz wa oktoba tutakuwa tushazisahau na hazitakuwa na soko.

Vipi wewe unaweza kutembea na mche wa Wasafi Soap kutoka nao dukani ad kwako bila kuuficha kwny mfuko mwngne??

Kwa mnahitaji ya;
Photographer.
Videographer.
Content creator.
Graphics designer.
Digital marketer.
0692477610
Misambwanda nyash mknddd sahv ndiyo habari kubwaaaa
Lazimaaa waonyesheee makaliooo makubwa yakitikisikaa
Maana wabongo wanapenda mambo hayooo ya kufyatuanaa
Mitaro .... akili yeti ndiyo imeishiaaa hapo

Ova
 
Sabuni OMO tu hizo zingine tktk tu
Na hyo sabuni ni suala la muda
Zitapoteaa tu kana zile karanga

Ova
 
Back
Top Bottom