Boyfriend wangu ni mchafu sana

Boyfriend wangu ni mchafu sana

Daaah akianza kuorodhesha madhaifu yako nawe itakuaje.. ?
 
Not true man. Let say you have your white shirt stained with a streak of oil or even juice. Do you realize that the streak has made your shirt dirty but it doesn't smell bad aka stinking?
Ahaahaaa... So juice is odourless...!
 
Kuishi na mtu mchafu yataka Moyo.
Nakuunga mkono,unaweka vitu katika hali ya usafi baada ya muda ni kama hakuna ulichofanya,hiki kinakwenda kule,kile kinawekwa huku,ukisema uache,yeye mwenzio hata hashtuki hali inazidi kuwa mbaya,i know the feelings,wako watu wameumbwa hivyo,very rough,reckless,careless and all that sort of things,pole sana mleta uzi...
 
Ndiyo shida ya kuokotaokota ,huyo hata boxer anarudia na akipiga mswaki mwaka mpya maana yake hapigi mpaka mwaka uishe kwakuwa si alishapiga katika mwaka husika?
 
Ahaahaaa... So juice is odourless...!
Not all sir but most canned juice are odourless especially when they are made into a small dry streak like I mentioned.

And not every odour/smell is a stink.
 
wewe endelea kujimbwambafy kuolewa utasikia redioni. Ukifikia umri wa kuolewa badilisha fikra za kishule, za kisherehesherehe, za club , za kujirusha...unapoukubali umama basi yafaa uukane usichana na maisha sii maigizo uyaonayo kwa watu. Watu wanavumiliana kwa mengi ndio maana wanadumu kwenye mahusiano. Unaweza ukampata msafi kweli kweli shughuli ya jeshi haiwezi vizuri lakini kwani sisi wanaume tunavuilia mangapi kwenu? kama sio kastarehe ka muda na kutafuta watoto unadhanmi hali ingekuwaje kwa mfano???

Hapana kwa kweli. Siwezi kuishi maisha yangu yote namvumilia mtu.
 
Nimeandika Uzi wangu nataka mwanaume msafi, wanaume wachafu wamepanick. I swear unaweza pata a life partner anakupenda Ila small habits kama hizi zinakuja kuvunja mahusiano. Wanaume wachafu badilikeni, especially small minded men who think being dirty is manly.

Nimegundua small habits ndo zinaua mahusiano, unakuta unamwambia mtu ajirekebishe anajifanya mjuaji. Siku unaamua kumpiga chini anaanza kulia lia sijui wanawake wa siku hizi hawafai sijui wasaliti,kumbe alikua anaambiwa hasikii.
 
Back
Top Bottom