- Thread starter
- #281
Uchafu ni tabia
Na tabia ni kama ngozi
ni wajibu wa kila mtu kuwa msafi usisubiri kumpa mzigo mwenzi wako aje akubadili
Pia tuko zama ambazo iwapo ubize unakukwamisha unakua na pesa yako unaitisha mtu ama watu nyumbani kukufanyia usafi walau mara 1 au 2 kwa wiki au 3 angekuja mtu akafua akapasi akadeki akapika akasafisha ndani nje nk
mwanaume mchafu ni mzigo ndani ya ndoa hio tabia itazidi hadi choo akitumia hatoflush
Kama utaweza vumilia endeleeni
Ama mtaftie kijana/binti wa kazi aje kila wiki
So much sense. Men never want to take responsibility for their actions but always find ways to blame it on women