Boyfriend wangu ni mchafu sana

Boyfriend wangu ni mchafu sana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kuna kadem kangu flani kaongeaji sana, kabla sijaenda kwake akawa ananikazia ati kwake hawafiki watu. Kako smart kwa muonekano ila nikahisi katakuwa kachafu sana.

Nikajiuliza sana huyu manzi yeye anajiona nani katika hii maisha hadi baharia nisikanyage kwake. Nikawaza au anafuga mtu nini huko ndani!?

Nikaamua kutumia medani za kisiasa nikatua kwake. Nilipofika sikuamini, demu ni msafi wa mwili na mazingira na anajipenda sijapata kuona. Nikilinganisha na alivyo pini aibu niliona mimi maana hadi kitandani hukalii shuka unatengewa kanga kwanza na mto unawekewa kikoi ili usipakwe mafuta toka kichwani.

Viatu vinakaa nje ili visichafue hali ya hewa na unanawishwa miguu kwanza. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mpaka sasa mie ndio nakwepa asije kwangu sasa.
Yaani kukaa kitandani inatandikwa kanga kwanza?
Huyo ni mvivu wa kufua mashuka.
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
Uyo ana tabia kama zangu
 
Hapo naimagine na usafi wa mwili wake, mwanaume wa hivyo hata kunyoa mazivu ni kazi, kujiosha vizuri makengele yake nayo tabu tupu unakuta adi yale mazivu yamegeuka rangi yamekuwa brown hahahahaaa asa ingia jaribu ata kumpa perfume au body spray anakwambia ajazoea arufu hahaha ajui arufu yake ya majasho inaumiza wengine
 
Huyo ni mimi serious kabisa

Nashukuru Mungu sina demu

so hapo pa kwenda kazini na JANABA pamenipita hiviiii

Ila kwengine kote nadhani una date na TWIN wangu

kweli duniani wawili wawili
 
Hapana. Nina natural hair
Hata km lkn unaweka malipstick, mawanja na maperfume
mm mke akiremberemba mpaka kitandani namkataza hapa sio guest ni ghetto siku tulipopata nyumba na watoto wa3 kawa mchafu usiombe, ziwa hilo li,edondoka dogo akilitaka anachomoa popote bila haya
maana yangu vumilianeni hamjaanza maisha bado mwache atafute pesa huenda yupo gereji au seremala au mzibua vyoo mtaani
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
Jiandae kuwa single M;huwezi kupata mume
 
Kweli. Na pia hanisumbui sana kama ex wangu. Hajawahi kunionyesha hanipendi au dharau. Shida ipo kwenye uchafu na ubishi.
Hapo kwenye kubadili wanaume kama with as daladala ndo tatizo lilipo...so ukiingia kwe ndoa mmeo akiwa na tatizo usilolipenda utatafuta mwengine.........kwanza hizo ishu kwa mwanaume aliyepitia geto kawaida sana sasa kazi ya bekitatu nn.......Shake my heard
 
Hata km lkn unaweka malipstick, mawanja na maperfume
mm mke akiremberemba mpaka kitandani namkataza hapa sio guest ni ghetto siku tulipopata nyumba na watoto wa3 kawa mchafu usiombe, ziwa hilo li,edondoka dogo akilitaka anachomoa popote bila haya
maana yangu vumilianeni hamjaanza maisha bado mwache atafute pesa huenda yupo gereji au seremala au mzibua vyoo mtaani
Ndo aende na janaba duh
 
Nina bahati ya kukutana na wanaume smart,yaan wasafiii balaa, yaani mwanaume msafi, sina jeuri kwake coz ndo ugonjwa wangu. Hizo kero nazisikiaga kwa watu.
mna shea wote poda

lipshine

Darling spray

Yani navuta picha mnavyopishana hapo kwenye dressing table
 
Hayo yote ya kutokuja na kunisema huku sawa, lkn kwanin hujaja ghetto wiki nzima?
 
Back
Top Bottom