Boyfriend wangu ni mchafu sana

Boyfriend wangu ni mchafu sana

Kuna mdada namjua nilitaka kumtongoza ikabidi niache. Ofisini kwake meza yake akimaliza kula snacks basi kila kitu kitachwa mezani...

Upangiliaji wake wa meza mchafu saana...sijawahi kufika kwake ila nadhani hapaingiliki...siku akawa ananipigia stori za kuachwa achwa na wanaume...nikajua tu huyu kwa huu uchafu nani ataweza kuishi naye.
 
Kwani kumuacha kimya kimya umeshindwa mpaka uje kushusha bango lote hili hapa jamvini ?

Pamoja na BF wako ni mchafu wa mwili wewe ni mchafu akilini .

Nyinyi wanawake mliojifunzia mapenzi facebook na ambiance manatabu sana.
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
 
Ukihamia kwake hayo yote yataisha. Kwani utayafanya kama sehemu ya kawaida, Kama tu unavyofanya uko uliko.
 
Huyo mpenzi wako ako na tatizo la akili/saikolojia...

Kila mtu ako na udhaifu wake kiakili
 
Nenda kamtembelee na ufanye uliomzoesha kumfanyia,
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
usikute ata wewe nje msafi ndani mchafu kwaiyo msinyosheane vidole
 
Sasa mimi nikupe siri. Kwa asilimia kubwa tuko hivyo. Hilo ni jambo dogo sana,hicho ndio wengi tumekosa, ndio maana mpo wanawake mtusaidie. Vitu kama kufua,kupika,kuosha vyombo ni vitu minor sana kwetu. Kiufupi hatuvizingatii hata kidogo.
 
Key point ya thread ni kwamba nafasi iko wazi anakaribisha applicants
C unajua hakuna aliekamilika, so we umepanga kumvumilia mtu mwenye mapungufu gani, muongo?, mzinzi?, mlevi?, mshirikina? Mvivu? Kuna jran yangu aliachana na mchumba ake kisa yuko rough cjui ananuka mdomo akaenda kwa tozi kilicho mkuta... ilifka point akataman kurud aliko toka bahati mbaya jamaa akawa ameshaingia kwenye mahusiano mengine afu kabadlika smart n hakuna. usione vya elea mjfunze kuunda. Changamoto n nyepes sana hyo kuvunja uhusiano ambao huko serious afu unawez kuta ata sio mchafu inawezekana akawa ana kuzoom tu ajue kiwango chako cha uvumilivu sasa kama ume shindwa hlo utavumilia nn kwenye ndoa, choose wise
 
Piga chini tu...hata uvungu wake binafsi hujaukagua kama una kaharufu???
 
Sasa mimi nikupe siri. Kwa asilimia kubwa tuko hivyo. Hilo ni jambo dogo sana,hicho ndio wengi tumekosa, ndio maana mpo wanawake mtusaidie. Vitu kama kufua,kupika,kuosha vyombo ni vitu minor sana kwetu. Kiufupi hatuvizingatii hata kidogo.
Si kweli.. Mna matatizo ya akili..
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
Utamu unaambatana na uchafu sehemu inayotoa utamu ndio inayotoa uchafu.

Kila mmoja na mapungufu yake na madhaifu yake badala ya kuanza kulalamikia mapungufu yake jifunze kuenjoy huo udhaifu wake hatuwezi kufanana mwanamke mwanaume kila mmoja kalelewa malezi tofauti kijinsia ni tofauti unadhani tunawezaje kuwa sawa nadhani tukijifunza kufurahia mapungufu ya wenza wetu tutayaona mapenzi matamu sana.

Utapata msafi lakini ndio unakuta anawanawake mpaka basi ,gubu ,uchoyo viko kwake.
 
Nani kasema!!? Jamani Kuna wanaume ni wasafi ukiingia ndani kusafi kunanukia kiasi mood inapanda kabla hujaguswa, vitu vipo kwenye mpangilio wenyewe yaani binti unajikuta unawaza "mmh hapa inabidi niwe makini nisije mharibia huyu mtu usafi wake,"....... Kama umeamua kuwa mchafu ni wewe ila wenzenu wasafi wapo nasisitiza wapo
Ukisema wenzenu kwani mimi ni mchafu babe?
Wanaume wengi hatujaumbiwa usafi. Amvumilie ambadilishe taratibu. Mimi pia sifurahishwi na watu wachafu.
 
Ungetaja na tabia ambazo zimekuvuta kwako,

Nlichogundua huyo swaiba wetu, ni msafi ila sio msafi classic[emoji3],, baada ya kukupata kaamua kuwa likizo na swala la usafi akiamini we si upo? Ya nn kuangaika na kufua wakati we upo?[emoji3]

Sema ratiba zako za leo umekuja kesho uji ndo maana narundika manguo[emoji3]

Uwe unakuja mara kwa mara sio unakuja jomc na jpili tu,

Ubize jaman natoka asubuhi kurudi usiku na hizi mvua nafua saa ngapi?

Jamaa yetu njoo huku yule demu uliyenisimulia nadhani ndo huyu kakutolea nyuzi huku[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3],, yuko mbion kumove[emoji137]
 
Unafikiri? Kuna siku mwaka fulani nilikuwa na boyfriend huyo siku tukapanga twende Lodge tukaenda vizuri kufika kule sasa yule kijana kabla hajavua nguo nikapata nafasi ya kuona boxa yake, asalaleeeeeeeeee, ilikuwa nyeupe jinsi ilivyo chafu sasa, nikawaza haraka haraka mbinu gani nitumie ili tusishiriki tendo, nikaanza kuigiza ugonjwa.... Jamani niliumwa ghafla akachanganyikiwa, tukatoka fasta kanirudisha alikonitoa
Nime "like" [emoji106]
 
Najua mtanitukana na kunisema eti ni kazi ya mwanamke kumuweka mwanaume sawa lakini hapa nimenyanyua mikono, isiwe kesi bora tuachane tu.
Nimekua katika haya mahusiano mwezi wa 8 sasa, mwanzoni nilikua sijamuelewa sana huyu jamaa na tabia yake lakini yamenifika kooni.
I'm not the cleanest person lakini huyu mwanaume ni mchafu jaman. Akioga usiku kabla ya kulala asubuhi haogi. Hata kama nikimsema yani analala na mwanamke usiku asubuhi anaenda kazini hivyo hivyo. Chumba chake ndo kichafu usiseme. Kuna wakati nilisafiri nikaenda mkoa mwingine kama mwezi hivi kurudi chumba hakitamaniki. Nikaona isiwe shida nikamsafishia. Ikawa kila weekend nikienda nasafisha. Nilipata ugeni sikuweza kwenda kwake kwa takribani wiki mbili, mungu wangu siku nilioenda ni kama pamepigwa bomu! Sahani aliolia chakula siku kama 3 zilizopita zipo humo, machupa ya maji, maganda ya ndizi. Hapo kitandani ndo usiseme. Ana jiko na sebule lakini viombo vimejaa chumbani. Yani nikaona hii ni tabia yake.

I can't do this anymore. I'm like his house girl.hata mama hamlei mtoto wake hivi.Mwanaume haambiliki. Nikishauri ajitahidi usafi anasema nampanda kichwani( Male ego).
Sijaenda kwake wiki sasa I know nikienda huko huo uchafu ntakaokutana nao sina hamu.
He's a good guy lakini hii tabia yake imenishinda. Bora yaishe tu.

Kina dada mnaishije na hawa viumbe?. Huyu kanishinda
UKIWA UNAMPENDA MTU hujaona kasoro zake we sema handas yako imeisha
 
Sifa kuu ya wanaume wachafu huwa hatuna mambo mengi [emoji23][emoji23][emoji23]

Ila mwanaume anayejikuta msafi aaargh usiombe wana maneno hao, wanasimanga hao, waropokaji hao.

BTW maisha hayana fomula acha baharia aishi alivozoea
 
Back
Top Bottom