Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

Wakuswampa ww tatizo.unajishaua kwa hiyo njemba.zIngekuwa inakuhitaji ingehama kwao long.Ww unaishi ?Si umuhamishie kwako?
 
Hahaha sijawahi date kijana anaeishi kwao jmn..i can imagine itakua mtihani sana..
 
ila jamani humu nahisi mara nyingi stori ni za kutunga manake unaweza kuta mtu mmoja ana thread hata 5 tofauti, leo bf/gr baada ya wiki atakuja ooh mume/mke, baada ya hapo atakuja na niko mpweke nisaidieni mawazo basi hata havieleweki ndo mana mimi huwa naangalia sana thread ya ku comment zingine najipitiaga tu kama kwa huyo nimekuja ili nisome comment nicheke,na nimecheka hasaa
Mi sijatunga wala
 
Mapenzi ya kitoto ya kitoto mimi siwezi... - Hizi nyimbo za wasanii mnatakiwa mzitumie kwenye mambo ya kimaisha
 
Habari zenu, eti jamani boyfriend anaekaa kwao anaboa ile mbaya...yani hata ukienda kumtembelea kwao mnaishia sebleni tu, mkikaa mnapiga story mara mamake kakatiza,no freedom,mkitaka kukutana in mpaka gesti ma nisivopenda kuingia gesti no sheeda..hivi motto Wa kiume miaka 29 kukaa hom no sawa, mi naona inadumaza akili especily MTU ana kazi nzuri tangu 2012...nikimwambia so uhame ukae kwako? Anajibu eti hawezi kukaa nyumba ya kupanga ni wastage ya money bora ajenge so ana make ela ajenge....ila inaboaa...maisha ya kupelelana gesti kama changudoa , mmmhh
Hivi kukaa kwako na house girl labda au rafiki alafu mpenzi wako anakuja hapo kugegedana au kwenda kugegedana gesti ipi mapenzi yanakuwa huru na matamu,maana najua kwako hata kama upo peke yako mtaogopa kujiachia sababu ya wanaowazunguka ila gesti hata ukitaka kutoa mguu dirishani huwezi kujali sababu papo maalum kwa hayo mamboo
 
Habari zenu, eti jamani boyfriend anaekaa kwao anaboa ile mbaya...yani hata ukienda kumtembelea kwao mnaishia sebleni tu, mkikaa mnapiga story mara mamake kakatiza,no freedom,mkitaka kukutana in mpaka gesti ma nisivopenda kuingia gesti no sheeda..hivi motto Wa kiume miaka 29 kukaa hom no sawa, mi naona inadumaza akili especily MTU ana kazi nzuri tangu 2012...nikimwambia so uhame ukae kwako? Anajibu eti hawezi kukaa nyumba ya kupanga ni wastage ya money bora ajenge so ana make ela ajenge....ila inaboaa...maisha ya kupelelana gesti kama changudoa , mmmhh
huyo sio boyfriend, ni boybrother. umepotea. wanawake wenzio wanatafuta watu wenye akili ya kujitegemea. watu kama sisi tuliondoka home tukiwa na 18 years. lakini kuna watu wamemaliza chuo, wengine wanaoa na mke na kumleta kwenye nyumba ya wazazi.si aibu hiyo.
 
Habari zenu, eti jamani boyfriend anaekaa kwao anaboa ile mbaya...yani hata ukienda kumtembelea kwao mnaishia sebleni tu, mkikaa mnapiga story mara mamake kakatiza,no freedom,mkitaka kukutana in mpaka gesti ma nisivopenda kuingia gesti no sheeda..hivi motto Wa kiume miaka 29 kukaa hom no sawa, mi naona inadumaza akili especily MTU ana kazi nzuri tangu 2012...nikimwambia so uhame ukae kwako? Anajibu eti hawezi kukaa nyumba ya kupanga ni wastage ya money bora ajenge so ana make ela ajenge....ila inaboaa...maisha ya kupelelana gesti kama changudoa , mmmhh

Mmmmh sasa ndo ku make gani huko sasa kama hela ya kupanga inaishia guest? Sema hajaamua tu kukaa mwenyewe labda ana sababu zake nyingine
 
Njoo kwangu me tayari nilishajenga ndo natafuta mchumba kama kweli hupendi kwenda guest njoo ukae kwa aman huku ukipata huduma nzuri, tamu na zenye kaubaridi kidogo.
 
Habari zenu, eti jamani boyfriend anaekaa kwao anaboa ile mbaya...yani hata ukienda kumtembelea kwao mnaishia sebleni tu, mkikaa mnapiga story mara mamake kakatiza,no freedom,mkitaka kukutana in mpaka gesti ma nisivopenda kuingia gesti no sheeda..hivi motto Wa kiume miaka 29 kukaa hom no sawa, mi naona inadumaza akili especily MTU ana kazi nzuri tangu 2012...nikimwambia so uhame ukae kwako? Anajibu eti hawezi kukaa nyumba ya kupanga ni wastage ya money bora ajenge so ana make ela ajenge....ila inaboaa...maisha ya kupelelana gesti kama changudoa , mmmhh
Na vipi kuhusu girlfriend anae kaa kwao?
Ebu anza kwanza kujibu hili kabla hatuja endelea na mengine ambayo umeonyesha utovu wa nidhamu kwa kwenda kwao na muvulana wako. Eti unakaa sebleni na mama wa mvulana wako anapita....[emoji16] [emoji16] [emoji16].
Kwanza wewe na huyo mvulana wako ni wapuuzi na hamna adabu kabisa kwa kuwaonyesha wazazi kwamba mna lalana kabla ya ndoa
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom