Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

Boyfriend anayekaa kwao anaboa sana

Habari zenu, eti jamani boyfriend anaekaa kwao anaboa ile mbaya...yani hata ukienda kumtembelea kwao mnaishia sebleni tu, mkikaa mnapiga story mara mamake kakatiza,no freedom,mkitaka kukutana in mpaka gesti ma nisivopenda kuingia gesti no sheeda..hivi motto Wa kiume miaka 29 kukaa hom no sawa, mi naona inadumaza akili especily MTU ana kazi nzuri tangu 2012...nikimwambia so uhame ukae kwako? Anajibu eti hawezi kukaa nyumba ya kupanga ni wastage ya money bora ajenge so ana make ela ajenge....ila inaboaa...maisha ya kupelelana gesti kama changudoa , mmmhh
Uandishi unaleta ukakasi haujazingatia punctuation, sehemu ya kuweka alama ya kiulizo unaweka koma, mbona mnatupa tabu hivyo kusoma


Ushauri
Mbona ana mipango mizuri, wewe ndiyo utakaye muharibi plans zake, halafu una mawazo mgando sana, yani akikupeleka guest house basi unaonekana ni malaya but still you act like the one, if you were my madame sahivi ungeshakuwa dumped maana huna focus na maisha na huangali mbali unawaza as if una upofu
 
mbanie papuchino yako.. au mwambie muwe mnakaa hoteli zenye hadhi ... we binti ni dhambi kuzini ila we umepewa bonus unapelekwa kwa wazazi unalalamika wengine wanakutanguliza gesti halafu yeye anakuja badae na wakati wa kuondoka anakutanguliza yeye anatoka badae... mshukuru Mungu
Wewe mzoefu wa hiyo makitu
 
mbanie papuchino yako.. au mwambie muwe mnakaa hoteli zenye hadhi ... we binti ni dhambi kuzini ila we umepewa bonus unapelekwa kwa wazazi unalalamika wengine wanakutanguliza gesti halafu yeye anakuja badae na wakati wa kuondoka anakutanguliza yeye anatoka badae... mshukuru Mungu
Kumbe kupelekwa home ni bonus eeh
 
Neno News Alert: hapa Jf Litazamiwe upya matumizi yake tafadhali
 
Huyo dume ndio yule mbabe? Au yule bakhiri? Maana kila ukija na story ya boyfriend mpya!
 
Back
Top Bottom