Boxing day tumepigwa box

Boxing day tumepigwa box

Kuna jamaa alivyotaka kuoa mwaka jana akanisimulia madhaifu yote ya bi harusi mtarajiwa, nikamwambia kama vipi vuta subira kidogo ujiridhishe au utafte mtu mwingine. Jamaa akalazimisha.

Hadi tunavoongea dakika hii jamaa hana hamu maana mwanamke hashikiki and full dharau. Hana ujasiri wa kunisimulia yote ila anafanya mipango waachane. Nilichomshauri ni kuwa avumilie tu maana ndoa haivunjwi hadi kifo.

Nilichojifunza:
Usije ukajipa moyo hata siku moja kuwa eti atabaidrika. Never

Ni kama uoe mmachame eti sikuiz wako safi. (Natania)!!
 
Last edited:
Sasa hao wapasha viporo inabidi waoane tu.

Kijana inabidi uwashauri wazee hili ili kupunguza inzi na shombo.we waambie wayamalize kishkaji tu waachane na bro maana ni mtu safi.
 
Weee haijaisha hiyo,mpaka utupe mrejesho wa hao wazee walioenda huko kwa kaka yako ndo tutajua imeisha au vp!

Mambo ya kuachana njia panda kamwe hayajawahi kuwa fair.
 
Kuna jamaa alivyotaka kuoa mwaka jana akanisimulia madhaifu yote ya bi harusi mtarajiwa, nikamwambia kama vipi vuta subira kidogo ujiridhishe au utafte mtu mwingine. Jamaa akalazimisha.

Hadi tunavoongea dakika hii jamaa hana hamu maana mwanamke hashikiki and full dharau. Hana ujasiri wa kunisimulia yote ila anafanya mipango waachane. Nilichomshauri ni kuwa avumilie tu maana ndoa haivunjwi hadi kifo.

Nilichojifunza:
Usije ukajipa moyo hata siku moja kuwa eti atabaidrika. Never

Ni kama uoe mmachame eti sikuiz wako safi. (Natania)!!
So sad mr!
 
mtaka yote kwa pupa hupata mwingi msiba. .
 
@LUMUMBA good story ukiomba kazi Global unapata!!
Hayo huwa yanatokea ila watu wanatia under the carpet!!
Huyo bibi harusi alizidisha, ni darasa pia kwa wengine waliopo kwenye mipango ya ndoa, kuweni makini pande zote!!
Mwogopeni Mungu kuweni wakweli!!
Ahsante Ubarikiwe!!
 
Back
Top Bottom