Boxing day tumepigwa box

Boxing day tumepigwa box

mamaeeee Malcolm Lumumba nimeshapita huku
duuuhh simchezo hii

Hapo nilijitahidi kupunguza baadhi ya vitu nisije nikagundulika na watu wanaopita humu!
Kuna ndugu tayari walishauona huu uzi wakapiga stop na mimi nkaupotezea kabisaaaa!
 
Hapo nilijitahidi kupunguza baadhi ya vitu nisije nikagundulika na watu wanaopita humu!
Kuna ndugu tayari walishauona huu uzi wakapiga stop na mimi nkaupotezea kabisaaaa!
waache wivu bhanaaaa kwani sisi tunamjua broo wako
vipi lakin broo aliweza kuhandle life pasipo kujidhuru
maaana daaaahh wanawake bhana
 
waache wivu bhanaaaa kwani sisi tunamjua broo wako
vipi lakin broo aliweza kuhandle life pasipo kujidhuru
maaana daaaahh wanawake bhana

Jamaaa yuko salama salminiiii,
Maisha yake yemenyooka like never before japo amekuwa na tatizo sana na wanawake.
Hawezi kukaa nao zaidi ya dakika hata tano, amekuwa katili sanaaa na hana huruma kabisa.
 
Back
Top Bottom