Boxing day tumepigwa box

Boxing day tumepigwa box

Dah.. uni tag kwa mrejesho wa wazee.. dang mpe pole bro..haki ya mungu women's are........so unpredictable!
 
Mkuu hebu tufanye biashara hyo suti yako ya bwana harusi na wapambe wote jumla utaniuzia bei gan,tugawane umaskini.Ila you are a great story teller
 
n balaa usiombe likukute,kdgo mim linikute mwaka jana sema shetani alishindwa.mmpe pole bro wako.
 
Weee haijaisha hiyo,mpaka utupe mrejesho wa hao wazee walioenda huko kwa kaka yako ndo tutajua imeisha au vp!

Mambo ya kuachana njia panda kamwe hayajawahi kuwa fair.
Mkuu umezungumza la msingi sana. Malcom Lumumba story haijaisha, iko katikati. Hao wazee walioenda huko itabidi utueleze kilichojiri na pia watakaporudi, pamoja na maamuzi yatakayofikiwa baada ya process zote za usulihishi. Mwisho utamalizia kwa yatakauoendelea baina ya hao wahusika wawili wakuu wa hii story baada ya chochote kitakachoafikiwa baada ya usuluhishi.
 
Salute kwako mkuu @MALCOM LUMUMBA, una kipaji kikubwa sana cha kuhadithia.

Ahsante pia kwa kushare nasi.

Me naona bro ako ako sawa, unajua ndoa ya kuishi na mtu ambae humwamini sio ishu, bora bwana bro ako kajisepesha asijekufa kabla ya muda wake kwa mawazo.

Hapo bro ameifahamu kweli nayo kweli imemweka huru.
 
Kama hujawahi kukutwa na hali hii, unaweza kucheka na kufurahia sana misemo ya msimuliaji, lakini Muombe sana MUNGU, Muombe sana MUNGU, narudia muombe sana MUNGU katika maisha yako ya mapenzi usipatwe na janga hili, ingawa sisi wengine kwa sasa muda umekuwa tiba nzuri, lakini acha kabisa, acha kabisa nakuambia. Ukiweza kuvuka kipindi kama hicho, mshukuru sana MUNGU na jua kwamba MUNGU bado ana sababu na wewe kuwepo hapa duniani. Jamani acheni tu haya mambo.
 
Kama hujawahi kukutwa na hali hii, unaweza kucheka na kufurahia sana misemo ya msimuliaji, lakini Muombe sana MUNGU, Muombe sana MUNGU, narudia muombe sana MUNGU katika maisha yako ya mapenzi usipatwe na janga hili, ingawa sisi wengine kwa sasa muda umekuwa tiba nzuri, lakini acha kabisa, acha kabisa nakuambia. Ukiweza kuvuka kipindi kama hicho, mshukuru sana MUNGU na jua kwamba MUNGU bado ana sababu na wewe kuwepo hapa duniani. Jamani acheni tu haya mambo.
Mkuu yaliwahi kukukuta kama ya huyo jamaa nini
 
Siku zote nipo nawaza huyu kaka wa watu tumsaidieje asije jinyonga? Si unajua sisi wanawake kazi yetu kubwa ni kubembeleza wanaume hasa wakiwa kwenye wakati mgumu kama huu! Baadae ntarudi siwezi mwacha na majonzi haya
 
Back
Top Bottom