NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Hii dhambi ni mimi au hawa walio nipa hili box?
Nilifiwa na baba yangu marafiki wakanifungashia box kufika kijijini nikafungua box baada ya wazee kutumia kilichomo kijiji kilichafuka ikawa balaa majitu ya kachalangana na mciban pakawa hapatoshi baadhi ya baba zangu wakawekwa ndani na walishindwa kumzika ndugu yao ,.... Mh najisikia vibaya maana chanzo kilijulikana kuwa ni lile box ...... Hebu nisaidieni hii dhambi naibeba mimi au hawa washikaji wangu?
Nilifiwa na baba yangu marafiki wakanifungashia box kufika kijijini nikafungua box baada ya wazee kutumia kilichomo kijiji kilichafuka ikawa balaa majitu ya kachalangana na mciban pakawa hapatoshi baadhi ya baba zangu wakawekwa ndani na walishindwa kumzika ndugu yao ,.... Mh najisikia vibaya maana chanzo kilijulikana kuwa ni lile box ...... Hebu nisaidieni hii dhambi naibeba mimi au hawa washikaji wangu?