Botswana waichana live USA

Botswana waichana live USA

Upo sahihi lkn kwanza kubali ulilizoom tusi kwa sababu unazozijua,
Pili nikukumbushe kitu ambacho yamkini unajisahaulisha,
Siasa inaendesha maisha ya kila mtu kila siku,
Hata ninyi mnaodhani hamshiriki siasa,mnaodhani mnachofanya hakiguswi na siasa eti sababu hamjihusishi na vyama,
Km unakataa fukunyua sababu za ss kutukanwa na trump ni sababu za kisiasa,kwa maana ya aibu wanayotusababishia watawala wetu,

Mkuu nakubaliana na wewe siasa ni maisha ya kila siku,lakini kwa upande wangu namkubali mwanasiasa wenye siasa inayonifaa kwa wakati husika,.

sina mapenzi na chama chochoe cha siasa,sina uanachama wa chama chochote cha siasa kama walivyo wengi wa watanzania,kura yangu nampa yule ninaeona ana sera nzuri kwa wakati husika...
 
Trump ni mgonjwa kumbuka Ronald Regan
Km ni mgonjwa unafikiri yupo sawa na Magu? Unafikiri yule mwandish Michael wolf angekuwa bongo na angeandika Fire and Fury inside the president Magufuli leo yaan muda huu tunavyoongea angekuwa jela au alishapigwa risasi na watu wasiojulikana.
Africa is shithole
 
Km ni mgonjwa unafikiri yupo sawa na Magu? Unafikiri yule mwandish Michael wolf angekuwa bongo na angeandika Fire and Fury inside the president Magufuli leo yaan muda huu tunavyoongea angekuwa jela au alishapigwa risasi na watu wasiojulikana.
Africa is shithole
Umefunguliwa dunia na umechagua unachotaka na umeamua kuwa kama trump alivyo sema!
Hatareee
 
Umefunguliwa dunia na umechagua unachotaka na umeamua kuwa kama trump alivyo sema!
Hatareee
Huyo wa Botswana muda si mrefu naye atachakachua katiba ili aendelee kutawala.
Ndiyo ujue trump is right
 
Huyo wa Botswana muda si mrefu naye atachakachua katiba ili aendelee kutawala.
Ndiyo ujue trump is right
Una matatizo kweli kweli walahi
Hebu kaa mbali nami usije ukanipa ugonjwa wa kujichukia!
Naomba usinijibu maana nakuweka kwenye ignored list!
Kutokuelewa kwako kunatisha kama ukoma walahi bye bye
 
Kwani amekosea wapi?

Nchi za Afrika ni shimo la choo.

Kama unaweza kupita barabarani na kuona vinyesi vikitapakaa barabarani na mitaroni baada ya chemba kutibuliwa kuna tofauti ipi na shimo la Choo?

Mfano mzuri ni jiji la Dar es Salaam.

Kuhusu Waafrika kuwa Watumwa, bado Waafrika ni Watumwa, ila utumwa wa leo si wa kutobolewa miguu na kuvishwa minyororo.

Tuna utumwa binafsi wa fikra, kisha vijana na wazee wa kiafrika ni Watumwa mpaka katika makampuni na viwanda vya wahindi.

Kama watu wanatoil asubuhi mpaka jioni na kusweat haswa katika kiwanda cha nguo cha muhindi na kulipwa sh. Elfu 80 kwa mwezi si utumwa?
Hongera mtumwa unayejielewa
 
Kwani amekosea wapi?

Nchi za Afrika ni shimo la choo.

Kama unaweza kupita barabarani na kuona vinyesi vikitapakaa barabarani na mitaroni baada ya chemba kutibuliwa kuna tofauti ipi na shimo la Choo?

Mfano mzuri ni jiji la Dar es Salaam.

Kuhusu Waafrika kuwa Watumwa, bado Waafrika ni Watumwa, ila utumwa wa leo si wa kutobolewa miguu na kuvishwa minyororo.

Tuna utumwa binafsi wa fikra, kisha vijana na wazee wa kiafrika ni Watumwa mpaka katika makampuni na viwanda vya wahindi.

Kama watu wanatoil asubuhi mpaka jioni na kusweat haswa katika kiwanda cha nguo cha muhindi na kulipwa sh. Elfu 80 kwa mwezi si utumwa?
You said it all. Hebu ukija Dar nitafute ukale karori KFC.
 
Una matatizo kweli kweli walahi
Hebu kaa mbali nami usije ukanipa ugonjwa wa kujichukia!
Naomba usinijibu maana nakuweka kwenye ignored list!
Kutokuelewa kwako kunatisha kama ukoma walahi bye bye
Utashangaa naye Mugabe, Kagame, Magu, Mseveni na Kuruzinza nao wanakuja juu wakati ndiyo hao wanafanya Africa kuwa shitholes.
Bonyeza kitufe cha ignore ili povu lisikutoke zaidi.
"Km raisi anasema hakuna kusema vyuma vimekaza huo ndiyo U-Shitholes'' huwezi kuwazuia watu waseme jambo.
[HASHTAG]#SHITHOLES[/HASHTAG]
 
Eeeh! Mimi ni Ke my friend
Goddess Isis
Reality kila mtu ni mgonjwa wa akili ila kuna magonjwa mengine yamezidi haswa personality disorder (narcissism) mara nyingi huwa wanayo viongozi wa kisiasa hata huku kwetu wapo ila ni kwamba africans ni shithole
 
Reality kila mtu ni mgonjwa wa akili ila kuna magonjwa mengine yamezidi haswa personality disorder (narcissism) mara nyingi huwa wanayo viongozi wa kisiasa hata huku kwetu wapo ila ni kwamba africans ni shithole
Ni wewe, definitely not me!
Midomo inaumba ndugu yangu
Wewe endelea kujiita shithole tu!
 
Ni wewe, definitely not me!
Midomo inaumba ndugu yangu
Wewe endelea kujiita shithole tu!
Unajua ukweli huwa ni mgumu ila mzuri na unauma ndio maana hata mkulu wetu akiambiwa ukweli huwa anatia biti trump hajakosea inabidi waafrica wasibitishie dunia kuwa sio ma'shithole ila sio kwa kuandika vijibarua vya kijinga kuthibisha wao ni shithole
 
Unajua ukweli huwa ni mgumu ila mzuri na unauma ndio maana hata mkulu wetu akiambiwa ukweli huwa anatia biti trump hajakosea inabidi waafrica wasibitishie dunia kuwa sio ma'shithole ila sio kwa kuandika vijibarua vya kijinga kuthibisha wao ni shithole
Likichaa lile limewekwa kama dummy tu!
 
Back
Top Bottom