ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,572
Nitasema tena ana MENTAL ILLNESS maana kiongozi wa taifa kubwa kama lile hawezi kuwa na maneno ya uwendawazimu!Trump sio mgonjwa wala hajawai kuwa mgonjwa
Trump ni mropokaji ukweli mtupu tena kama waafrika tutatafakari maneno anayosema tutajirekebisha
Its true africa ni shithole na hio yote ni sababu ya viongozi wetu wa kisiasa kua walafi wakupitiliza na ma selfish wasiojali maisha ya raia wao bali wanajali matumbo yao , kazi kujikusanyia mihela ktk mi bank huko nje na kuzifanya nchi za africa ziwe like hell
Africa was shithole , is shithole and will be shithole hadi pale tutapopata viongozi wenye machungu na raia wao na moyo wa dhat wa maendeleo kwa nchi zao
Binadamu Mwenye akili zake timamu huwa anaongea kwa hekima na ufahamu!
Lakini nisamehe kama kwa upande wako unaona ni sawa mtu kuwa hivyo kwani watu tunatofautiana katika mambo ya ustaarabu!
BUSARA NI MUHIMU!
Na mimi nina amini marekani pia ilikuwa kwenye shithole wakatafuta njia wakatoka na sisi AFRICA pia tutapata njia tutatoka tu!
Kwani civilization ilianza wapi?
Naomba umsome MANSA MUSA OF MALI....usijichimbie kaburi na kujidharau na kuto kujiamini kiasi hicho!
Rome was not built in a day, have faith!
Wewe sio MAVI!