Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,596
Hujajibu katika muktadha.Kukosea ni kuenda kinyume na matakwa ya kitu au jambo fulani.
Nadhani nimekujibu ndg diaspora?
Kama matakwa ni uende kinyume na matakwa, na ukienda kinyume na matakwa umekosea kwa mujibu wako, ukienda kinyume na matakwa, umekosea au umepatia?
Kwa sababu, kwa kila "jambo fulani" atakalokosea, kuna la kinyume chake atakalokuwa kapatia.
Kwa kila Wapalestina atakaokuwa kawakosea, kuna Wayahudi wengi atakaokuwa kawafurahisha.
Kwa kila Democrats atakaokuwa kawakosea, kuna Republicans atakaokuwa kwafurahisha na kuwapatia.
Kwa kila conservatives atakaokuwa kawafurahisha na kuwapatia, kuna liberals ataeakosea.
Kwa Trump jambo muhimu kabisa analotakiwa kulifuatisha ili asikosee ni lipi?