Botswana waichana live USA

Botswana waichana live USA

Mbona huzi meya wa chadema amewaita wenzake wote takataka kasoro Lisu hamjasema kitu
 
Tatizo letu sisi wabongo ni kutokujua Kiingereza vizuri. Watu wengi wanatafsiri neno "shit-hole" moja kwa moja na kusema eti ni shimo la choo. Hapana, maana ya neno hili "shit-hole" ni sehemu chafu sana, ya ovyo ovyo isiyokuwa na mpangilio au unaweza kusema; sehemu isiyovutia.

shithole
ˈʃɪthəʊl/

noun
vulgar slang
noun: shit-hole

  1. an extremely dirty, shabby, or otherwise unpleasant place.
    "this place is a shit-hole, I hope you know that"
Kiukweli Trump hajakosea kusema Africa is a shit-hole, Africa ni chafu kwenye kila kitu, kwenye uongozi, kwenye mitaa, kwa watu binafsi wengi wetu ni wachafu sana. Miji yetu ni michafu mpaka karne hii ya 21 bado Africa kuna kipindu pindu hasa hapa kwetu Tanzania.

So if you put it metaphorically, Trump is right, Africa is really a shit-hole and I agree with 100%
Sasa kwani shimo la choo linavutia?
 
Haya fafanua kiongoz

1.Tunanunua madiwani ili turudie uchaguzi kwa gharama kubwa wakati shule zetu hata vyoo vya shimo ni shida.
2.Viongozi wanatuibia hela wanaenda kuficha zilikonyingi ulaya na marekani.
3.Angalia ustaarabu wetu tunavyoishi mitaani,mfano unatiririsha choo kilichojaa mvua inaponyesha eti kuleta gari ya kunyonya gharama....Anyway,tunayo mengi saaana.
4.Tunaletewa misaaada watu wachache wanakaa mezani wanagawana.
IS THAT NOT SHITHOLE?
 
Tumia akili kidogo mkuu
Ishu siyo kumsusia trump
Ishu ni kubadirika,
Heshima haivutwi itakuja yenyewe kadri ya unavyoishi na kujismamia na kujitambua,
Unarudisha mabarozi halafu watu wako unawapiga risasi na kuwabana wakikukosoa matusi yataishaje

Mawazo yako ni mawazo ya kila mwafika asiejifahamu,Trump lazima asusiwe leo kawatukana wafrika hujui kesho atafanya nini waafrika....

Heshima haiji wenyewe kaka,unatakiwa ujiheshimu kwanza ndio utaheshimiwa,mimi sizungumizii siasa za ndani ya Tanzania.

Ninachomini mimi kama watanzania wanajijua Serikali asingelifanya inachofanya,leo hii watanzania waingie mitaani,wafanye maandamano ya kupinga vitendo vinavyofanywa na serikali na amini serikali itakaa sawa,naamini serikali itawasikiliza...

Juzi tu Tunisia wananchi wameingia mitaani ,wameandamana kupinga kifo cha mtoto kilichotokea Polisi,nchi nzima imeandamna kupinga udhalimu wa Polisi,watunisia wamefanya hivyo kwasababu wanajiheshimu hawataki kuonewa...

Tanzania watu wanapotea,wengine wanakotwa pwani ufukweni,Mbunge anapigwa risasi mchana kweupe,watanzania hawajafanya chochote,kwasabu hawana heshima,hawajiheshimu,hawajui thamani ya utu wao,usingumzie heshima kaka,kama hujiheshimu hamna atakaekuheshimu...

Lazima upingekwavitendo kuwa hutaki kuonewa ndio heshima itakuja,kama hupingi kile unachofanyiwa hata kikiwa kibaya maana unapenda ufanyiwe unachofayiwa.....

Kama Trump hajafundishwa adamu kufanmishwa kuwa alichafanya hakikubaliki,ataendelea kufanya zaidi ya alichafanya..
 
Hakuna kitu cha muhimu kama kujikomboa kiuchumi kwa nchi yetu Tz na kwa bara la Africa kwa ujumla, hizi dharau za trump anafikia hatua za kutuita ''shithole countries'' liwe fundisho kwa viongozi wetu, inakuaje tunamiaka 50+ tukiwa hatuna maendeleo ya maana, bado tunahangaika na malaria, vipindupindu,watu wanaishi chini ya dola moja kwa siku, tunahangaika na njaa, ukiyataza matatizo tuliyonayo miaka yote unagundua kuna shida kwenye ubongo wetu, ingawaje trump kaenda mbali sana kututukana lakini tubadili maneno yake yawe fundisho kwetu, na serikali zifanye kazi ziache maneno.
 
Kwani amekosea wapi?

Nchi za Afrika ni shimo la choo.

Kama unaweza kupita barabarani na kuona vinyesi vikitapakaa barabarani na mitaroni baada ya chemba kutibuliwa kuna tofauti ipi na shimo la Choo?

Mfano mzuri ni jiji la Dar es Salaam.

Kuhusu Waafrika kuwa Watumwa, bado Waafrika ni Watumwa, ila utumwa wa leo si wa kutobolewa miguu na kuvishwa minyororo.

Tuna utumwa binafsi wa fikra, kisha vijana na wazee wa kiafrika ni Watumwa mpaka katika makampuni na viwanda vya wahindi.

Kama watu wanatoil asubuhi mpaka jioni na kusweat haswa katika kiwanda cha nguo cha muhindi na kulipwa sh. Elfu 80 kwa mwezi si utumwa?

We Kubali tu wee ni kama Mavi, sasa ukitaka kupindisha kuwa oh barabara oooh muhindi endelea. Lakini mimi kama mwafirka mwenye weledi sikubali hata siku moja niitwe mavi, at kwasababu wewe umejinyea na unanuka. Sikubali kuitwa mavi.

Kama ulikuwa hujui, mwafrika kwa miaka mingi alikuwa anakunya nje na mbali na nyumbani, mzungu anakunya karibu na kitanda chake, nani mchafu?
 
8aba582885e0617792a3b6e467b47f52.jpg


Kungekua na maraisi watano kama wa botswana TRUMP angonyooka na kuona waafrika wa sasa sio wale waliochukuliwa utumwa

Huwezi kuziita Africana country "shithole" halafu baadhi ya maraisi wanakaa kimya yaani kwa kiswahili cha kawaida "nchi za africa ni shimo la choo" huyu TRUMP lazima apimwe akili
Screenshot_20180112-191841.png
 
Mimi leo hii ningekuwa Rais ningefukuza balozi wa USA sasa hivi na sitaki misaada yao tena jitu linawatusi hafu viongozi wetu wamekaa kimya fukuza ubalozi wote kataa misaada yao basi kwani nini

Aah, maskini mwenye kiburi huyo.
 
HIYO NI SAWA NA MTOTO WA 3 YRZ KUWAKATAA WAZAZ WAKE ANAOWATEGEMEA.


VYUMA HAVITAKAZA, VITAVUNJIKA KABISA, WEWE HUJIULZI KWANIN DENI LINAPAA? TUNAOMBA MSAADA HAD SOUTH AFRICA
 
Ukitaka kujua waafrika ni wachafu, nenda dsm utaona inavyonuka very true Trump Ila ukweli unauma Sana , Kigali pekee ndio nàona angalau kidogo
Naona umeamua kutukana wazazi wako waliokuzaa
Sijui umri wako au wa wazazi wako hebu uliza wazazi walipozaliwa walikuwa wakijisaidia kwenye Pot au walivalushwa pampasi si walikunya miguuni kwa wazazi wao wachafu? Na uchafu wao wewe umefika hapo ulipo mwehu wewe .India kuna MTO mchafu umejaa vinyesi unaitwa MTO Ganges vinyesi vinaelea lakini kila mwaka mabilioni ya wahindi toka india na duniani kote huenda kuhiji na kuoga kwenye huo MTO wanaoita mtakatifu uliojaa vinyesi.ukiuliza mbona mchafu watakwambia MTO mtakatifu hauwezi kuwa mchafu ukiwauliza hamuwezi pata magonjwa kama kipindi pindu nk wanakwambia MTO mtakatifu hauwezi kukupa maradhi wanaoga na kuzama kwa raha zao.Donald Trump aheshimu watu wengine wawe wasafi au wachafu as long as they are human beings they need respect not only from Donald trump but from anybody on earth including you bwege
 
Amekanusha. Washington post hawampendi trump ndio wameandika hiyo habari
 
Amekanusha. Washington post ndio wameandika hiyo habari hawampendi kabisa trump
 
Back
Top Bottom