Botswana waichana live USA

Botswana waichana live USA

Matendo yapi hayo?
Katiba ya marekani ni ya 1787 mpaka leo wanatumia hiyo hiyo. Angazia bara la Afrika ndo upate kujuw kwa nini wa afrika hatufanani na binadamu. Angalizia hapo jirani yetu Zimbabwe, mzee wa 93 et ndo rais. Kabisa!!!!
 
Kwani sasa ni wasafi?

Usafi wenu uko wapi?

Watu mmejaa uwongo uliokithiri. kuoneana kusikotamkika, hamuwezi kujitawala, hamthaminiani, mnapigana risasi hadharani na bado mnaidhinisha uonevu huo, viongozi wenu wanaidhinisha uvunjivfu wa amani na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Hata sheria za nchi mliozojiwekea mnauhuru wa kuzivunja hadharani na kisha kutumia mabavu kulinda uvunjaji huo, hamtaki kufanya yale watu wengi wanataka ambayo ni bora kwa ustawi wa taifa badala ayke mnafanya usani i kwa maslahi ya watu wachache. Mnatumia ujinga wa binadamu kama nyenzo ya kuwatawala kwa maslahi yenu.

AU UNADHANI TRUMP AMESEMA HAYO KWA KUMANISHA USAFI WA NGUO NA MWONEKANO WA RANGI?

DAWA NI SIYO KUFUNGA UBALOZI. KUFUNGA BALOZI HAKUFENYI MUWE WASAFI. NI KAMA VILE KUMUUA TUNDU LISU AMBAVYO HAKUJATUPATIA NOAH KILA MTANZANIA, HAKUJAFANIKISHA KULETA NDEGE YETU HAPA NYUMBANI, HAKUJAPUNGUZA UGUMU WA MAISHA.

MKITAKA KUONEKANA WASAFI, ISHINI MAISHA SAFI NYUMBANI KWENU. MSITAKE KULAZIMISHA WATU WAWAITE WASAFI WAKATI MNASHEHENA CHAFU MIOYONI MWENU HUKU DAMU ZA NDUGU ZENU ZIKIWALILIA.


Kuna nchi Afrika zimeshtuka kimawazo,na kuna nchi zimelala kimawazo,moja katika nchi zilizoamka ni pamoja na nchi ya Botswana,na katika nchi zilizolala kimawazo ni nchi kama majirani zetu Kenya na Rwanda

Sio siku nyingi zilizopita raisi wa marekani alitanganza kuwa Jerusalem ni mji mkuu wa Israel,nchi nyingi zilipinga hatua hiyo,lakini Kenya na Rwanda zilikubaliana na Trump...

Tukumbuke Kenya vile vile ilikuwa inaunga mkono utawala wa ubaguzi wa rangi(Apatheid) Afrika Kusini....

Trump katika siasa zake zinaohusu uhamiaji,kauliza kwanini nchi zenye watu wachafu kama makalio, kakusudi watu wa Afrika ikiwemo Kenya,Rwanda na Haiti kwanini wanakuja kuishi marekani..?

Botswana imechukuwa hatua ya kumrejesha balozi wake nyumbani,ni hatua nzuri sana kwa watu wanojijua,kama nchi za Afrika zitaiga mfano wa Botswana basi dunia itaziheshimu nchi za Afrika

Je Tanzania tutasubutu kama walivyofanya Botswana....?


Habari kutoka BBC
View attachment 673985
Serikali ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani kwa kusema mataifa ya Afrika ni "machafu" na kusema tamko lake rais huyo ni la kukosa kuwajibika, la kukera na "ubaguzi wa rangi".

Bw Trump alisema hayo alipokuwa akizungumzia sera ya uhamiaji ya Marekani, ambapo alisema anafikiti watu kutoka Haiti, El Salvador na nchi za Afrika hawafai kuruhusiwa kuingia kama wahamiaji Marekani.

Botswana imesema kupitia taarifa kwamba imemwita balozi wa Marekani nchini humo kufafanua iwapo Marekani inachukulia taifa hilo la kusini mwa Afrika kama "taifa chafu" na taifa la mabwege.

Taarifa hiyo ya Botswana imesema tamko la Trump ni la kukosea heshima taifa ambalo lina urafiki wa kufana na uhusiano wa kibalozi.

Botswana imeitaka jumuiya ya kiuchumi ya nchi za kusini mwa Afrika Sadc pamoja na Umoja wa Afrika kushutumu tamko hilo la Trump.

Bw Trump kwenye Twitter hata hivyo amejitetea na kusema hakutumia maneno hayo, lakini akasema aliyoyasema yalikuwa na "lugha kali".

Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema tamko hilo la Trump ni la kushangaza, la aibu na la ubaguzi wa rangi.

Rupert Colville amesema: "Iwapo yatathibitishwa, matamshi haya ni ya kushangaza na ya aibu sana kutoka kwa rais wa Marekani, nasikitika kwamba hakuna maneno mengine ya kueleza hili ila kusema kwamba ni ubaguzi wa rangi.

View attachment 673970
 
Ukiwa unaingizwa muhogo wewe unafikiri ni kila mtu ewe shithole?

Waafrika ni wachafu sana...wengine mnanuka.
Unasukumizwa hogo ww ndo maana unasapoti mashoga wenzio wenye pua za nguruwe akina trump and the likes,stupid hamia huko huko unatuchafua na shombo zako
 
Unasukumizwa hogo ww ndo maana unasapoti mashoga wenzio wenye pua za nguruwe akina trump and the likes,stupid hamia huko huko unatuchafua na shombo zako
Hahaha...siku zote kutukana namna hii katika discussion kunajustify umaaluni wa kukosa hoja au kuzidiwa hoja.

Bila shaka na wewe ni mchafu.. shithole ndio mana unatokwa povu.

 
Waafrika tutakubali kutukanwa maana hatuna ubavu wa kubishana na hawa jamaa
 
Hahaha...siku zote kutukana namna hii katika discussion kunajustify umaaluni wa kukosa hoja au kuzidiwa hoja.

Bila shaka na wewe ni mchafu.. shithole ndio mana unatokwa povu.

Nenda kwa shithole mwenzako trump akutawaze huko kwa buttacks,ukiwa safi urudi kuchangia usafi.
Nonsense arguments
 
Trump yuko sahihi kama vipi wachukue maamuzi magumu waandamane warudi nchini mwao Africa na Haiti..wasiporudi trump yuko sahihi
 
Kuna nchi Afrika zimeshtuka kimawazo,na kuna nchi zimelala kimawazo,moja katika nchi zilizoamka ni pamoja na nchi ya Botswana,na katika nchi zilizolala kimawazo ni nchi kama majirani zetu Kenya na Rwanda

Sio siku nyingi zilizopita raisi wa marekani alitanganza kuwa Jerusalem ni mji mkuu wa Israel,nchi nyingi zilipinga hatua hiyo,lakini Kenya na Rwanda zilikubaliana na Trump...

Tukumbuke Kenya vile vile ilikuwa inaunga mkono utawala wa ubaguzi wa rangi(Apatheid) Afrika Kusini....

Trump katika siasa zake zinaohusu uhamiaji,kauliza kwanini nchi zenye watu wachafu kama makalio, kakusudi watu wa Afrika ikiwemo Kenya,Rwanda na Haiti kwanini wanakuja kuishi marekani..?

Botswana imechukuwa hatua ya kumrejesha balozi wake nyumbani,ni hatua nzuri sana kwa watu wanojijua,kama nchi za Afrika zitaiga mfano wa Botswana basi dunia itaziheshimu nchi za Afrika

Je Tanzania tutasubutu kama walivyofanya Botswana....?


Habari kutoka BBC
View attachment 673985
Serikali ya Botswana imemshutumu Rais wa Marekani kwa kusema mataifa ya Afrika ni "machafu" na kusema tamko lake rais huyo ni la kukosa kuwajibika, la kukera na "ubaguzi wa rangi".

Bw Trump alisema hayo alipokuwa akizungumzia sera ya uhamiaji ya Marekani, ambapo alisema anafikiti watu kutoka Haiti, El Salvador na nchi za Afrika hawafai kuruhusiwa kuingia kama wahamiaji Marekani.

Botswana imesema kupitia taarifa kwamba imemwita balozi wa Marekani nchini humo kufafanua iwapo Marekani inachukulia taifa hilo la kusini mwa Afrika kama "taifa chafu" na taifa la mabwege.

Taarifa hiyo ya Botswana imesema tamko la Trump ni la kukosea heshima taifa ambalo lina urafiki wa kufana na uhusiano wa kibalozi.

Botswana imeitaka jumuiya ya kiuchumi ya nchi za kusini mwa Afrika Sadc pamoja na Umoja wa Afrika kushutumu tamko hilo la Trump.

Bw Trump kwenye Twitter hata hivyo amejitetea na kusema hakutumia maneno hayo, lakini akasema aliyoyasema yalikuwa na "lugha kali".

Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema tamko hilo la Trump ni la kushangaza, la aibu na la ubaguzi wa rangi.

Rupert Colville amesema: "Iwapo yatathibitishwa, matamshi haya ni ya kushangaza na ya aibu sana kutoka kwa rais wa Marekani, nasikitika kwamba hakuna maneno mengine ya kueleza hili ila kusema kwamba ni ubaguzi wa rangi.

View attachment 673970
Sema mkuu umezidisha tusi,
Nadhani wewe ni mmoja wa wavurumisha propaganda wa kijani wanaotupotoshaga daily,
Tusi halikuwa hivyo,
Labda umejinukuu ulivyo ukaamua kubambika
 
Back
Top Bottom