Kumbe kweli we we upon gizani. Tanzania tuna vitu na vumbuzi za kujivunia. Kwanza chanjo ya Malaria ilinguduliwa katika kituo cha utafiti Ifakara - Moro, WHO waligoma kutupa hati miliki wamerika wakaichukua na wakajifanya wameigundua wao tena wakaibadilisha ili tuamia haifanyi kazi pia kumbuka Mradi wa mbu Jangwani na Muhimbili ilikuwa ni majaribio mbu walikuwa wengi. 2. Uvumbuzi wa viazi lishe venye vitamin A nyingi baada ya Sirikali kusutukia chanjo ya matone. 3. Tanzanite nipo Tanzania tu, mbona wanai-disvalue. 4. Vyura wa Kihasi - Moro wamerikani walichukua baadhi kwenda na US kisha walipozaa aliwarudisha lakini walikuwa wana magonjwa ili vyura wote wafe pale Kihasi wabakie Marekani tu. Wataalamu wetu waligundua na walizibiti magonjwa hayo. Kumbuka vyura wa Kihasi wanazaa na wanpatikana Tanzania tu. Labda kwa sasa na Marekani. 4. Uranium, kwa miaka kumi na ushee hivi kulikuwa na mradi fulani wa UKIMWI mikoa ya Mbeya, Iringa na Ruvuma. Mradi huo uliongozwa na Marekani, walikuwa wanchunguza Uranium. Marekani ajenge barabara toka Ruvuma hadi Mtwara bure. 5. Serengeti hakuna hifadhi duniani yenye wanyama mbalimbali kama serengeti. 6. Mt. Kilimanjaro is only highest free stand mountain in the world. Maana yake unapanda mpaka juu bila kutumia kamba. 7. Uvumbuzi wa panya watengua mabomu toka pale Moro mbona wazungu wapo kimya. 8. Uvumbuzi wa M-pesa wazungu hawaupendi kabisa wanauzuia usiingie kwao wao wanakazania ATM card na electron card mbalimbali kwa nini wasichukua M-Pesa. Ndio maana tuwe makini na Bitcoin. Hii inakuja kufanya mtikisiko wa Uchumi wa Dunia baadaye. 9. Nembo ya Taifa. Tanzania pekee ndiyo nchi ambayo kwenye nembo yake kuna mwanaume na mwanamke. Nchi nyingine ni wanyama au mimea tu kwenye nembo zao za Taifa. TAFAKARI.
Kumbe kweli we we upon gizani. Tanzania tuna vitu na vumbuzi za kujivunia. Kwanza chanjo ya Malaria ilinguduliwa katika kituo cha utafiti Ifakara - Moro, WHO waligoma kutupa hati miliki wamerika wakaichukua na wakajifanya wameigundua wao tena wakaibadilisha ili tuamia haifanyi kazi pia kumbuka Mradi wa mbu Jangwani na Muhimbili ilikuwa ni majaribio mbu walikuwa wengi. 2. Uvumbuzi wa viazi lishe venye vitamin A nyingi baada ya Sirikali kusutukia chanjo ya matone. 3. Tanzanite nipo Tanzania tu, mbona wanai-disvalue. 4. Vyura wa Kihasi - Moro wamerikani walichukua baadhi kwenda na US kisha walipozaa aliwarudisha lakini walikuwa wana magonjwa ili vyura wote wafe pale Kihasi wabakie Marekani tu. Wataalamu wetu waligundua na walizibiti magonjwa hayo. Kumbuka vyura wa Kihasi wanazaa na wanpatikana Tanzania tu. Labda kwa sasa na Marekani. 4. Uranium, kwa miaka kumi na ushee hivi kulikuwa na mradi fulani wa UKIMWI mikoa ya Mbeya, Iringa na Ruvuma. Mradi huo uliongozwa na Marekani, walikuwa wanchunguza Uranium. Marekani ajenge barabara toka Ruvuma hadi Mtwara bure. 5. Serengeti hakuna hifadhi duniani yenye wanyama mbalimbali kama serengeti. 6. Mt. Kilimanjaro is only highest free stand mountain in the world. Maana yake unapanda mpaka juu bila kutumia kamba. 7. Uvumbuzi wa panya watengua mabomu toka pale Moro mbona wazungu wapo kimya. 8. Uvumbuzi wa M-pesa wazungu hawaupendi kabisa wanauzuia usiingie kwao wao wanakazania ATM card na electron card mbalimbali kwa nini wasichukua M-Pesa. Ndio maana tuwe makini na Bitcoin. Hii inakuja kufanya mtikisiko wa Uchumi wa Dunia baadaye. 9. Nembo ya Taifa. Tanzania pekee ndiyo nchi ambayo kwenye nembo yake kuna mwanaume na mwanamke. Nchi nyingine ni wanyama au mimea tu kwenye nembo zao za Taifa. TAFAKARI.