Kwa sasa ajali si HABARI hapa tanzania
kwa nini usiote umekufa mwenyewe kuliko kuota wengine wamekufa maji? wewe ni replica wa sheikh yahaya nn??WATU 10 WAMENUSURIKA NA WENGINE WAWILI HAWAJULIKANI WALIPO, ILIKUWA INATOKA ZANZIBAR KWENDA PANGANI.
Source: ITV
NOTE:
Nilianzisha thread kwamba nimeota meli imezama Zanzibar baada ya sikukuu, na nikatoa maelezo ya kutosha lakini mods wakaitupa kapuni thread yangu.
Kwa kuwa ndoto ile imekuja kuwa ni kweli, mods fanyeni mpango muirudishe.
Kuna haja ya kuanzisha intelijensia za kuchunguza vyombo vya majini badala ya hizi zilizopo zinazochunguza mikutano ya vyama vya siasa pekee :car:
WATU 10 WAMENUSURIKA NA WENGINE WAWILI HAWAJULIKANI WALIPO, ILIKUWA INATOKA ZANZIBAR KWENDA PANGANI.
Source: ITV
NOTE:
Nilianzisha thread kwamba nimeota meli imezama Zanzibar baada ya sikukuu, na nikatoa maelezo ya kutosha lakini mods wakaitupa kapuni thread yangu.
Kwa kuwa ndoto ile imekuja kuwa ni kweli, mods fanyeni mpango muirudishe.
Kwakweli kuja kufikia 2015 wa-Tanzania wengi tutakuwa na hali mbaya kama si kiuchumi basi kisaikolojia, majanga yametuzidi. ni juzijuzi tu MV-Stagik imeua watu kibao sasa na hii leo inazama!! si balaha hii.
Aisee baba yangu embu acha uvivu 2ambie hiyo boti ilikuwa inatoka wapi kwenda wapi na imezama maeneo gani saa ngapi
naenda kunjwa mbege nitarudi,,nikute majibu
Ilikuwa inatoka ZNZ kwenda Pangani. Namsubiri Maalimu Seif atoe neno!