Boti sita zimezama huku wavuvi hawajulikani walipo

Asante sana kwa wimbo huu...

Nimeusikiliza nikajifunza.

Nimewahi kuwa na manzi. Alikuwa mtu wa kulalamika sana kuwa ana shida, hana Bahati ana mikosi... Ila ukimuangalia unagundua anashida yeye.

Unampa million inaisha siku 3, kesho anakuomba buku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ anakwambia humjali, na ukimpa hakutafuti tena Hadi iishe...

Aisee ngoja nitumie huu wimbo I don't want peace
Alikuwa ana kudharau sana na wewe uliamini ukimpa pesa atakupenda.

Mapenzi hayauzwi Baba shuktuka.
 
Mkuu wanawake walikufanya nini mbona umewakatia Tamaa?
Mimi nimeoa mkuu nipo kwenye ndoa na MWANAMKE anae nipenda Sanaa ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Na enjoy life married nguo zotee, viatu vyotee, saa, perfume wife ndio huninunulia yaan asione nguo, viatu vizuri lazima aninunulie yeye ndie designer wangu..

NB.
Before sijaoa kwenye harakati za ujana kipindi kapuku niliwai ku be rejected sikua na uelekeo wa kimaishaa nikachezeaga DEUCES Ila baadae nikawaga strongest

Nikiona mwanamke mwenye maringo, Malaya, mpenda pesa, mbinafsi, mwenye tamaa nawachukiaga na sikuwai taka wanisogelee au kunizoea ikibidi Ni KUMPIGA HIT&RUN ๐Ÿ˜Š

Nili bahatika nipo kwenye ndoa nilipata mke mwema mkuu
 
Mimi nimeoa mkuu nipo kwenye ndoa na MWANAMKE anae nipenda Sanaa ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Na enjoy life married nguo zotee, viatu vyotee, saa, perfume wife ndio huninunulia yaan asione nguo, viatu vizuri lazima aninunulie yeye ndie designer wangu..

NB.
Before sijaoa kwenye harakati za ujana kipindi kapuku niliwai ku be rejected sikua na uelekeo wa kimaishaa nikachezeaga DEUCES Ila baadae nikawaga strongest

Nikiona mwanamke mwenye maringo, Malaya, mpenda pesa, mbinafsi, mwenye tamaa nawachukiaga na sikuwai taka wanisogelee au kunizoea ikibidi Ni KUMPIGA HIT&RUN ๐Ÿ˜Š

Nili bahatika nipo kwenye ndoa nilipata mke mwema mkuu
Walikupa funzo ukawa mtaalam wa kuchagua vizuri
 
Daaaaahh
Nilitaka niwadhihaki marehemu kuwa walijitakia lakini nimekumbuka stori ya wakoma 4 kwenye kitabu cha Wafalme.
Muda mwingine inabidi ufanye maamuzi ya kikatili ukisema ni bora ufie kwenye mkate kuliko kufa chumbani na njaa
Ni kwl mkuu lakini maisha ni ya thamani kuliko njaa ya siku 2,

Walipaswa kusubiri hali ya hewa iwe shwari.

Ktk vitu vinavyotisha baharini ni kimbunga.
 
Asante sana kwa wimbo huu...

Nimeusikiliza nikajifunza.

Nimewahi kuwa na manzi. Alikuwa mtu wa kulalamika sana kuwa ana shida, hana Bahati ana mikosi... Ila ukimuangalia unagundua anashida yeye.

Unampa million inaisha siku 3, kesho anakuomba buku ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ anakwambia humjali, na ukimpa hakutafuti tena Hadi iishe...

Aisee ngoja nitumie huu wimbo I don't want peace
Yaani mwanamke unampa 1m baada ya siku tatu anarudi hana kitu?! Alikuona pimbi.
 
Mnaosema jamaa walitoka kwasababu ya njaa mnawafahamu hao wavuvi? Wabongo wengi hata humu tuna tabia za kubeza na kupuuza utabiri wa hali ya hewa. Inawezekana pia walitoka kwa mazoea. Anyway tuombe wapatikane Hai
 
Back
Top Bottom