Boti sita zimezama huku wavuvi hawajulikani walipo

Baraka Mwinshehe...

Ule wa Remmy huu hapa chini...


View: https://youtu.be/XGoKmUU-Rqs?si=4nqD40P_IAyBqgZ5

Asante sana kwa wimbo huu...

Nimeusikiliza nikajifunza.

Nimewahi kuwa na manzi. Alikuwa mtu wa kulalamika sana kuwa ana shida, hana Bahati ana mikosi... Ila ukimuangalia unagundua anashida yeye.

Unampa million inaisha siku 3, kesho anakuomba buku 😂😂😂😂 anakwambia humjali, na ukimpa hakutafuti tena Hadi iishe...

Aisee ngoja nitumie huu wimbo I don't want peace
 
Asante sana kwa wimbo huu...

Nimeusikiliza nikajifunza.

Nimewahi kuwa na manzi. Alikuwa mtu wa kulalamika sana kuwa ana shida, hana Bahati ana mikosi... Ila ukimuangalia unagundua anashida yeye.

Unampa million inaisha siku 3, kesho anakuomba buku 😂😂😂😂 anakwambia humjali, na ukimpa hakutafuti tena Hadi iishe...

Aisee ngoja nitumie huu wimbo I don't want peace
Una moyo kwa lafudhi ya kiruguru 😊😊😊
 
Asante sana kwa wimbo huu...

Nimeusikiliza nikajifunza.

Nimewahi kuwa na manzi. Alikuwa mtu wa kulalamika sana kuwa ana shida, hana Bahati ana mikosi... Ila ukimuangalia unagundua anashida yeye.

Unampa million inaisha siku 3, kesho anakuomba buku 😂😂😂😂 anakwambia humjali, na ukimpa hakutafuti tena Hadi iishe...

Aisee ngoja nitumie huu wimbo I don't want peace
Mimi in my life time huwa na allergies na wanawake wenye tamaa ya Mali na pesa mfano nilisikiliza interview ya Sarah a.k.a EX_WA TAIFA niligundua alimtesa Sana mondi kipindi mondi anajitafuta yeye simply anamwita Nasibu 😊

Mkuu love yourself be strong usiyape mapenziiiiiii thamani kuliko unavyo jithamini Kama una nafasi nukia vizuri,vaa vizuri, kula vizuri, kunywa vizuri,lala pazuri, fanya ibada kifupi Kama unanafasi enjoy
 
Mimi in my life time huwa na allergies na wanawake wenye tamaa ya Mali na pesa mfano nilisikiliza interview ya Sarah a.k.a EX_WA TAIFA niligundua alimtesa Sana mondi kipindi mondi anajitafuta yeye simply anamwita Nasibu 😊

Mkuu love yourself be strong usiyape mapenziiiiiii thamani kuliko unavyo jithamini Kama una nafasi nukia vizuri,vaa vizuri, kula vizuri, kunywa vizuri,lala pazuri, fanya ibada kifupi Kama unanafasi enjoy
Kabisa mkuu.ukitaka show unanunua wa elf 5 tu😄
 
Mungu awasaidie
Waliweka maisha yao rehani ili watoto wasikose chakula

Maisha yetu ya kitanzania, usipotoka hata siku 1 kwenda kufanya kazi basi familia nyumbani wanalala njaa
Nimekumbushwa na hii Comment yako. Nilitaka niwatukane.....nikakumbuka mama yangu alikuwa anatoka Wakati wa Mvua kali ile ya Mawe kwenda Shambani mbaki kuchimba viazi ili tule.

Ukiwa unashiba utawasema kwamba aah kwanini hawakusubiri😆😆
 
Mimi in my life time huwa na allergies na wanawake wenye tamaa ya Mali na pesa mfano nilisikiliza interview ya Sarah a.k.a EX_WA TAIFA niligundua alimtesa Sana mondi kipindi mondi anajitafuta yeye simply anamwita Nasibu 😊

Mkuu love yourself be strong usiyape mapenziiiiiii thamani kuliko unavyo jithamini Kama una nafasi nukia vizuri,vaa vizuri, kula vizuri, kunywa vizuri,lala pazuri, fanya ibada kifupi Kama unanafasi enjoy
Mkuu wanawake walikufanya nini mbona umewakatia Tamaa?
 
Back
Top Bottom