Mungu awasaidie wapatikane salama wao na mali zaoZilikuja mafia kuvua boti za fery dar mpaka sasa bila bila huku watu wa fery poleni
HakikaMungu awasaidie
Waliweka maisha yao rehani ili watoto wasikose chakula
Maisha yetu ya kitanzania, usipotoka hata siku 1 kwenda kufanya kazi basi familia nyumbani wanalala njaa
Hakika mkuu, umaskini ni mbaya sana, pamoja na tahadhari zote zile lakini bado wanaingia baharini,Mungu awasaidie
Waliweka maisha yao rehani ili watoto wasikose chakula
Maisha yetu ya kitanzania, usipotoka hata siku 1 kwenda kufanya kazi basi familia nyumbani wanalala njaa
Sio kila mtu taarifa humfikia.Pole yao.....ila kwa tahadhari na hali ya hewa ile hawakutakiwa
Kuingia baharini
Ova
Huwa wanadai TMA waongo!Pole yao.....ila kwa tahadhari na hali ya hewa ile hawakutakiwa
Kuingia baharini
Ova
Poleni.Wavuvi husema wao wana roho ngumu sana, wanafanya kazi ngumu sana.
Na awali ya yote, wao wanafahamu hali zote za hewa. Na wanakutana nazo sana.
Hivo vimbunga kwao ni kitu cha kawaida kwao.
Kiufupi jamaa huwa wanajidanganya sana saaaaaana. Hawachelewi kusema kipindi hiki kizuri samak wanakua juu juu au wanasogea.
Wana tabia yakusema leo wamepata sana, while ukiangalia vzuri ni yale yale.
Nishapoteza boti mbilli kwa upuuzi kama huu.
Sijui kwa nini watanzania huwa tunapuuza hizi tahadhari zinazotolewa na mamlakaZilikuja Mafia kuvua boti za fery Dar mpaka sasa bila bila huku watu wa fery poleni.