BOT yazindua sarafu ya tsh 50,000

Wakitaka watoe hata ya LAKI moja kabisa ili nisiwe nahangaika nikiingia bar.

Sarafu kwa jina jingine ni noti?

Hapana, sarafu ni tofauti na noti.

heheh mwita 25 bana....

Ha ha ha haa...!!! Wachangiaji wengi wanazungumzia noti/note badala ya sarafu/coin.


Karibu tena!

sarafu au noti!!!
Ni ajabu watu mnaotegemewa kuwa great thinkerz mnaongea vitu irrelevant kwa case ya kushangaza kama hii!
Anyway, tuko na kizazi cha mafisadi humu ndani!
 
Ni ajabu watu mnaotegemewa kuwa great thinkerz mnaongea vitu irrelevant kwa case ya kushangaza kama hii!
Anyway, tuko na kizazi cha mafisadi humu ndani!

Kwa kushindwa kwako kuongea vitu "relevant" huoni kuwa na wewe umeongea "irrelevant" pia?

Sentensi yako ya mwisho inatoa tafsiri kuhusu aina ya GT you!
 
uchumi gani wa sarafu ya 50,000/=
ina maana sadaka lazima tutoe hiyo sarafu moja.
 
itasumbua kwenye kuhonga matrafiki kwani ikikukuta umekamatwa na hiyo hiyo ndio hiko mfukoni basi imekula kwako
 
uchumi gani wa sarafu ya 50,000/=
ina maana sadaka lazima tutoe hiyo sarafu moja.

mkuu hii itakuwa kama negotiable matter fulani hivi. Nikiwa na maana kuwa coin hii yenye thamani ya 50,000.00 unaweza kuinunua hata kwa 10,000,000.00 in future in relation to supply and demand.
Ikumbukwe huu ni ukumbusho wa kuadhimisha miaka 50 ya uhuru, so sidhani kama itakuwa ikitumiwa saana kwenye manunuzi ya kawaida.
I suggest it is better to have one in your commodities safe cabinet.
 
Yaani na wakaakaa kitako na kuamua kuwa hilo ni wazo muafaka!!! Kha!!! :embarassed2:.......Maumivu ya kichwa kwa mbaaaaaali...naanza kuyasikia!
 
Jamani, eleweni thread!

Hii noti ni just ceremonial denomination, na haitaingia kwenye mzunguko wa fedha!

Ila kitendo cha kutengeneza sarafu hii mimi nakiita ulevi tu, maana ni kuchezea rasilimali za nchi, na kutafuta means zote za kujiongezea kipato 'kichafu' kwa baadhi ya maofisa wa BoT!..

Sarafu hiyo itasaidia nini!

Eti kwaajili ya kusherekea niaka 50 ya UHURU,, uhuru wa nani?, nani yuko huru?, nani ameshauri upumbafu huu, na nchi i
 
Ndullu nawewe umeona ujiundie kaproject angalau upate ela ya Xmass!
Kama ni kweli utashangaa ziko kwa mzunguko alafu watasema ni bahati mbaya!
With CCM anything can happen nakumbuka maneno ya mwalimu kuwa hamjui kesho itatokea nini?
 
Benki kuu ya Tanzania BOT imezindua sarafu mpya ya Tsh 50,000/= iliyotengenezwa kwa madini ya fedha ambayo itauzwa katika mabenki kwa ajili ya shamrashamra za miaka 50 ya uhuru je wachumi mliobobea mnalionaje hili na hali ya uchumi wetu ulivyo kwa sasa je ni nani atakubali yaani ununue sarafu ya kufungia chumbani khaaaa!!!!! source tbc jambo leo saa 1 asbh.

mmmmmmmmmmmmmmh
sasa tunawakaribia zimbabwe,si ya kuweka ndani,utasikia tu kwamba haya kuanzia leo itatumika rasmi
 
Tatizo limeanzia kwa mtoa mada..ameifanyafinya hivyo ni ngumu kuielewa kwa haraka haraka. mwanzo alianza vizuri ila katikati ya thread akachomekea hitisho ambalo ndo limepelekea mada kutoeleweka vizuri.

Jamani, eleweni thread!

Hii noti ni just ceremonial denomination, na haitaingia kwenye mzunguko wa fedha!

Ila kitendo cha kutengeneza noti hii mimi nakiita ulevi tu, maana ni kuchezea rasilimali za nchi, na kutafuta means zote za kujiongezea kipato 'kichafu' kwa baadhi ya maofisa wa BoT!..

Noti hiyo itasaidia nini!

Eti kwaajili ya kusherekea niaka 50 ya UHURU,, uhuru wa nani?, nani yuko huru?, nani ameshauri upumbafu huu, na nchi inayosherekea uhuru huu ni ipi, kuna Tangantika hapa?, ....my hairs!

Ni wangapi(percentage-wise) ya waTanzania watakuwa na uwezo wa kuinunua fedha hiyo kwa purpose ya kuiweka mchagoni kama pambo?

Lakini watangulizi wetu walishasema kuwa dalili ya mvua ni mawingu!...ukiona inatengenezwa noti ya denomination hiyo ujue kuwa hiyo idea ndiyo iliyopo vichwani mwa maafisa hawa, na believe me or not, this note is on the pipeline, and soon or later you will test its bitterness!

Shenzi kabisa!
[/QUOTE]


Hiyo bluu nimeelewa sasa muanzisha thread hajatuambia hivyo. Thanks in advance

But hiyo red mmmmhhhh kwani umeamkaje PJ leo???
 
mmmmmmmmmmmmmmh
sasa tunawakaribia zimbabwe,si ya kuweka ndani,utasikia tu kwamba haya kuanzia leo itatumika rasmi



humu janvini kuna watu wanachangia kiushabiki tu, ni bora kama hujui chochote ukae kimya.

- hicho mnacho kiongelea si kigeni kabisa katika mataifa mengine, kama kuna wafuatiliaji wazuri wa mambo ya kimataifa watagundua hicho si kitu kigeni.
- nchi nying sana duniani zinapo azimisha miaka either 25, 50 au 100 huwa na sherehe mbalimbali na kila taasisi ya hizo nchi huja na staili yake ya kuazimisha miaka kadhaa. Na moja wapo huwa ni benk kuu za hizo nchi.

- mnacho pigie kelele sikioni mara o tutakuwa kama zimbabwe mara matrafiki,

- wakuu ni kwamba bot wamejalibu kuiba hii aidia kutoka mataifa mengine ambayo yameisha wahi kuadhimisha miaka yao ya uhuru.

- Mf
ano philipine wakati wanaadhimisha miaka yao nazani ilikuwa 50 au 75 nimesahau kidogo, wao benki kuu yao ilitengeneza not yenye ukubwa wa yale mabango ya barabarani, na hiyo ilitumika kwa siku hiyo pekee yake baada ya hiyo siku kupita, ilibidi waliozipokea wazipeleke benk kuu.
Na si philipine pikee, kuna nchi nyingi zimewahi kutoa pesa ya ajabu maalumu kwa ajili ya kusherekea kitu fulani

turudu huku kwetu, hiyo koin, inaweza kuwa imetengenezwa maalumu kwa ajili ya kutumika siku hiyo tu. Yaani ukibahatika kuipata utaweza nunua bidhaa dukani lakini baada ya siku hiyo walio zipokea watalazimika kwenda kuzichenji benk ili wapewe pesa za kawaida.

na huwa hazitengenezwi nyingi na ni wachache hubahatika kuzitumia, na wanatengeneza kidogo kwa sababu, zitakuwepo kwenye mzunguko kwa siku moja tu. Hao wachache wano bahatika kuzitumia ndo huwakilisha hao walio kosa. Unaweza kuta zitatolewa jumla kuu yake zikawa na thamani ya milioni hata 20. Na zinaweza sambazwa kila wilaya labda koin kadhaa ili wilaya zote zipate watu wakuzitumia kwa siku hiyo.


 
mi mwenyewe sielewi kwani TBL c ndo haohao BOT fedha inatolewa na BOT tunakunywa bia za TBL na TBL wanapeleka hela BOT aaaghhh sielewi
Tehe tehe tehe tehe tehe!!! Ha ha ha ha ha ha! bwah! bwah! bwah! Wewe msanii bana.
 
Back
Top Bottom