BoT yatangaza Noti mpya

BoT yatangaza Noti mpya

hela zilizoko kwenye vibubu na masanduku/safe ya/za VICOBA zinatafutwaaaaaa mzitoe tujue mahesabu kiasi gani 🙌

huchelewi sikia mtu kakamatwa na maburungutu ya hela kaenda badilisha fedha bank
 
Nilikuwa nataka kuanzisha bank yangu. Nimefuta mawazo. Bora nijenge hospitali ya Rufaa niwatibu watanzania wenzangu kwa gharama nafuu. Korona haikubaliki!
Kwa hio babu unampango wa kumtibu amu korona yake?

Maendeleo hayana chama
 
Back
Top Bottom