Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,564
- 9,041
Serikali instarajia kutia noti mpya ili kuboresha uchumi
Afadhali kile BICHWA hakipo.Uchumi ungeporomoka kinoma noma.Kuanzia Sasa kutakuwa na maboresho katika noti zetu hapa Tz, Kama zinavyojieleza kwenye picha.Source BOT.View attachment 1408154View attachment 1408155View attachment 1408156View attachment 1408157
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao tayari sio wenzangu
Swali zuri sana hili. Tunatakiwa kuwaamini watu 3 tu Tz. JPM, Ummy na Abbas kuhusu corona. BaaaasiiiiKwa hiyo nawe uliwaamini ?
Hivi dollar ya marekani mara ya mwisho kufanyiwa marekebisho ni mwaka gani?kama wamezifanyia maboresho kwa namna yoyote ile ilibidi watangaze mwezi mmoja kabla ya kufanya hivyo vinginevyo itawapa fursa wale wezi hasa watu wa vijijini watalizwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitoshangaa kuiona picha ya mgufuli kwenye noti hizo mpyaKuanzia Sasa kutakuwa na maboresho katika noti zetu hapa Tz, Kama zinavyojieleza kwenye picha.Source BOT.View attachment 1408154View attachment 1408155View attachment 1408156View attachment 1408157
Sent using Jamii Forums mobile app
Jikite kwenye madaMe binafsi hata sielewi kama n mpya au feki nashangaa tuu kama wengine wanavoshangaa
HaitokwepoSitoshangaa kuiona picha ya mgufuli kwenye noti hizo mpya
Kuanzia Sasa kutakuwa na maboresho katika noti zetu hapa Tz, Kama zinavyojieleza kwenye picha.Source BOT.View attachment 1408154View attachment 1408155View attachment 1408156View attachment 1408157
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio.Ndugu,wanajukwaa habari.
Leo nimepokea pasipo kutambua noti ya shilingi elfu tano yenye muonekano mpya kidogo, yaani imepauka kiasi tofauti na ya awali pia mstari wake una muonekano tofauti kabisa na ule wa awali.
Baada ya kukumbana na sintofahamu hiyo niliamua kuwasiliana na muuza duka wa hapa mtaani kwetu ambaye alinieleza kuwa noti hizo zimesambaa sana, na zipo kuanzia Sh. 2000, 5000 &10000
Nilipomuuliza kuhusu uhalali wake amesema yeye hazipokei kwa hofu, zisije zikawa za bandia kwa kuwa hajapata taarifa yoyote kuhusu mabadiliko kwenye noti hizo.
Kwa mwenye taarifa zaidi tafadhali.