Inabidi utukanwe
Inabidi utukanwe
Niliongelea hili juzi mkuu. Nilichoambulia kutoka kwa misukule ni matusi na kejeli. Tatizo humu watu wanapatwa na mihemko bila kujua uhalisia wa suala zima kuhusiana na Money transfers na TT. Kuna watu humu hata kujiunga na bando la Chuo kwao ni tatizo, halafu wanakuja na mihemko ya kiwango cha SGR.
Nikweli inachukua week mbili toka zichangwe tarehe 8 na kutumwa tarehe 20.Mbowe hajui kwamba wiring money takes time up to days sometimes? Businessman gani hajui hilo? Sio kila kitu wafanye siasa
Acha ujuaji wa kipuuzi wakati hujui kitu, si ajabu bado unakula na kulala kwa shemeji yako afu unakuja hapa kubwabwaja kuhusu money wiring. Soma hapaTunajua wiring inafanya kazi kwa 24 hours only sasa nyie toka tarehe 8 mpaka 23 na bado mnaguts za kutetea upumbavu basi tusiwalaumu wasaliti wanaoturudisha nyuma kwa kujilimbikizia Mali,wizi mfano Kivuko Kibovu,madini na gas.
Pole Tanzania yangu
Wengi bado wanakula na kulala kwa shemeji zao hawajui lolote wanakuja hapa kubwabwaja tuNiliongelea hili juzi mkuu. Nilichoambulia kutoka kwa misukule ni matusi na kejeli. Tatizo humu watu wanapatwa na mihemko bila kujua uhalisia wa suala zima kuhusiana na Money transfers na TT. Kuna watu humu hata kujiunga na bando la Chuo kwao ni tatizo, halafu wanakuja na mihemko ya kiwango cha SGR.
Ww ndo hujui kama zimetumwa tarehe 20 zimefika 21 ilikuwaje pesa zichangwe tr 8 zije zitumwe tr 20?au walijua hatopona?na ww kuwa na akili jinga kubwa ww kwani kinacho transfar pesa ni gari au mtandao hata kama ingekuwa kuzipeleka kwa gari toka tr 8 mpaka leo c zingeshafika.Mbowe hajui kwamba wiring money takes time up to days sometimes? Businessman gani hajui hilo? Sio kila kitu wafanye siasa
Ukipata jibu nitag mkuuBot imeingilia kati nini sasa?
Unajua maana ya "May take longer"?Acha ujuaji wa kipuuzi wakati hujui kitu, si ajabu bado unakula na kulala kwa shemeji yako afu unakuja hapa kubwabwaja kuhusu money wiring. Soma hapa
"Many domestic wire transfers can be completed within 24 hours (especially if transfers occur between accounts at the same financial institution). But international wire transfers may take longer. If you're sending money to another country, it may take as many as five days for the recipient to receive their funds"
Hii ni TZ to KE (BOT to Barclays)
Mbowe hajui kwamba wiring money takes time up to days sometimes? Businessman gani hajui hilo? Sio kila kitu wafanye siasa
anajua sana, pesa ichangwe tarehe 8 na 9 wao wapeleke tarehe 20, kuna namna, basi wangemjulisha mojawapo, familia, au chama, sasa hospital ingekataa je kuwa haina maelezo na hizo pesa, wee hujui kuna jaji 1 kenya kabla ya uchaguzi aliingizia milions of kenyan shs kwenye account yake na akagoma kutoa na kuwaambia bank wazirudishe walikozitoa maana yake hana maelezoMbowe hajui kwamba wiring money takes time up to days sometimes? Businessman gani hajui hilo? Sio kila kitu wafanye siasa
mbowe kaongea tarehe ngap na bunge walituma pesa tarehe ngap?Angetaka kuzipiga asingezitaja.Shida amewahi kabla wala Rambirambi hamjazipata.
Poleni sana.Baada ya Mbowe kuongea amekuwa kama mbwa anayeongozwa na miluzi.
Kama zimetumwa unacholialia ni nini Dada!! Tukusaidiaje sasa Dada au sababu mmezoea kulialia kila kitu mnatafuta sababu ya kulia tu, Bora zingekua hazijatumwa au zimetumwa pungufu kumbe zimetumwa bado unalialia kama mtoto yatima haishi malalamiko!Ww ndo hujui kama zimetumwa tarehe 20 zimefika 21 ilikuwaje pesa zichangwe tr 8 zije zitumwe tr 20?au walijua hatopona?na ww kuwa na akili jinga kubwa ww kwani kinacho transfar pesa ni gari au mtandao hata kama ingekuwa kuzipeleka kwa gari toka tr 8 mpaka leo c zingeshafika.
Sijui niambie wewe Ras SimbaUnajua maana ya "May take longer"?
Huu ni msaada unapopeleka mgonjwa wako hospital huwazi kwamba utapewa msaada unajua gharama zote ni juu yako, hata wao initially hawakujua Kama bunge lingechangia, msaada huja Kama bahati tu, sasa Kama wao walienda Kenya wakijua bunge litatoa pesa huku wamekataa gov isigharamie watakua wajinga.Swala ni kwamba mgonjwaaliumia tar 7. terehe 20 hela ndio inatumwa baada ya mbowe kuwaumbua.Sasa tar 7 mpaka 20 tatribani wiki 2.huyo mgonjwa angaekuwa hai kweli? Serikali inajikanyaga yenyewe
Acha ujuaji wa kipuuzi wakati hujui kitu, si ajabu bado unakula na kulala kwa shemeji yako afu unakuja hapa kubwabwaja kuhusu money wiring. Soma hapa
"Many domestic wire transfers can be completed within 24 hours (especially if transfers occur between accounts at the same financial institution). But international wire transfers may take longer. If you're sending money to another country, it may take as many as five days for the recipient to receive their funds"
Hii ni TZ to KE (BOT to Barclays)