BoT yaingilia kati sakata pesa za Lissu

BoT yaingilia kati sakata pesa za Lissu

Mbowe hajui kwamba wiring money takes time up to days sometimes? Businessman gani hajui hilo? Sio kila kitu wafanye siasa
Toka tar 8 ilipochangwa pesa imetumwa tar 20, hiyo wiring money yawapi?
 
Aiseee....
Hakuna aliyesema kuchanga ni jukumu la mtu, ILA UKISEMA UNACHANGA, NA UKACHANGA, MCHANGISHAJI AKILA, HILO NI TATIZO....

BTW, are you serious unaposema HATA WANGEPELEKA MWEZI UJAO? Kwa hali ile ya LISU... wapeleke mwezi ujao.... ROHO YAKO INAHITAJI REHEMA YA MUNGU ILI UONE MAANA YA ULICHOKIANDIKA
Pesa hazijaliwa na zishatumwa. Hapa tatizo ni Lenu mnaodhani matibabu ya TL yangesimama bila zile pesa kitu ambacho si kweli. Wao kukataa msaada wa serikali na kuamua kumpeleka KE tayari walikua wana utayari wa kugharamia kwa njia wanazojua wao.

Mtoaji ndo muamuaji sio mpokeaji na TL angetibiwa tu bila hata ya huo msaada
 
Jibu jepesi haswa wiring money 08/09/2017 to 22 September alaa acha hizo janja nyepesi hiyo. Na atajulia wapi wakati yeye hela kaanza kushika ukubwani kama wewe? kitu cha emergency mnaleta uwiring?
Zilikua zinasubiri maelekezo zaidi kama za rambi rambi na wahanga wa tetemeko
 
Jibu jepesi haswa wiring money 08/09/2017 to 22 September alaa acha hizo janja nyepesi hiyo. Na atajulia wapi wakati yeye hela kaanza kushika ukubwani kama wewe? kitu cha emergency mnaleta uwiring?

Toka tar 8 ilipochangwa pesa imetumwa tar 20, hiyo wiring money yawapi?

Nimejibu hili swali repeatedly ngoja nirudie kwa mara ya mwisho

TL hahitaji msaada kutibiwa, hadi familia yake inampeleka KE tayari walikau wameamua kumtibu wenyewe na walijua gharama zote ni juu yao, msaada umekuja kama bahati tu, bila hata ya huo mchango TL angetibiwa. Aidha walisema hawama imani na gov hivyo hawahitaji msaada wao

TL anabima ambayo inamsaidia pia

Wabunge kutoa michango yao ni msaada sio jukumu wala lazima, wabunge kwa hiari yao walikubali ila yeyote yule angeweza kusema posho yangu isikatwe na isingekatwa. Zile sio pesa zako wala zangu au za wananchi ni posho za wabunge. Again, ni msaada sio jukumu, bunge halina wajibu wa kumjibu yeyote yule kuhusu mchakato wa hizo pesa, wangeweza kupeleka hata mwezi ujao kama wangeamua. Mtoaji msaada ndo huwa anaaamua atoe kiasi gani na kwa mtindo gani sio mpokeaji, ndo nasikia hapa mpokeaji anatoa masharti. Kama hawajapendezwa na jinsi hizo pesa zimekuwa handled wanaweza kurudisha
 
Nimejibu hili swali repeatedly ngoja nirudie kwa mara ya mwisho

TL hahitaji msaada kutibiwa, hadi familia yake inampeleka KE tayari walikau wameamua kumtibu wenyewe na walijua gharama zote ni juu yao, msaada umekuja kama bahati tu, bila hata ya huo mchango TL angetibiwa. Aidha walisema hawama imani na gov hivyo hawahitaji msaada wao

TL anabima ambayo inamsaidia pia

Wabunge kutoa michango yao ni msaada sio jukumu wala lazima, wabunge kwa hiari yao walikubali ila yeyote yule angeweza kusema posho yangu isikatwe na isingekatwa. Zile sio pesa zako wala zangu au za wananchi ni posho za wabunge. Again, ni msaada sio jukumu, bunge halina wajibu wa kumjibu yeyote yule kuhusu mchakato wa hizo pesa, wangeweza kupeleka hata mwezi ujao kama wangeamua. Mtoaji msaada ndo huwa anaaamua atoe kiasi gani na kwa mtindo gani sio mpokeaji, ndo nasikia hapa mpokeaji anatoa masharti. Kama hawajapendezwa na jinsi hizo pesa zimekuwa handled wanaweza kurudisha
nje ya mstari kabisa, wewe ulikua unamshangaa mbowe kuwa hajui wire transfer huwa zinadelay? Ndio tukakuambia hoja sio wire transfer hoja ni kuchelewa kutuma, toka tar 8 hadi 20 hata kama zingekuwa zinapelekwa kwa boda boda zingekuwa zimeshafika..,
Swala la anahitaji msaada au hahitaji hilo inajua familia yake, unless wewe ni msemaji wa familia
 
Mbowe hajui kwamba wiring money takes time up to days sometimes? Businessman gani hajui hilo? Sio kila kitu wafanye siasa
Siku 12 baada ya pesa kuchangwa, ndo zilitumwa kwanini zimecheleweshwa hivyo?
 
Mbowe hajui kwamba wiring money takes time up to days sometimes? Businessman gani hajui hilo? Sio kila kitu wafanye siasa
Siku zaidi ya kumi.akuna kitu kama hiyo ata kwa bus zingewahi
 
Mbowe hajui kwamba wiring money takes time up to days sometimes? Businessman gani hajui hilo? Sio kila kitu wafanye siasa
alitaka kutumwa kwake si unajua watu wa kule kwa madili ya juuu kwa juu
 
Milioni 204 hazitoshi? Em tuache utani
Wanataka hela ya kununua MRI mpya?
 

Aidha, Ndugai alimtaka Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni kukubali ofa ya serikali ya kutaka kugharamia tiba za Lissu akiwa nje ya nchi.


CHANZO: Habari Leo[/QUOTE]

Account ya Hospital wameshapewa, na gharama za matibabu kwa siku wameambiwa ni around 10M, Serikali/Bunge wanachotakiwa ni kuzidisha siku alizolazwa/atakazolazwa Lissu mara 10M, wawe wanatuma tu hospital moja kwa moja, wasiaze sumbua watu.............
Kama wako serious lakini............
 
Talk aas if you know the whole story. Do not talk as if you are just waking up from sleep. Sawa.
 
mpaka alitokwa na jasho
Tena gwanda lake lote lililowa utafikiri kanyeshewa mvua kumbe ni jasho tu. Nilishangaa sana siku ile, kumbe hii ndio ilikuwa sababu. Alifikiri hela zimeingizwa kwenye akaunti yake lakini hola hakuziona. Duh.
 
Hivi wewe kama ndugu au jamaa unachangia matibabu ya mtu kule apolo india. Hera unampa muhusika au unatuma moja kwa moja apolo!!? Mi sijamuelewa huyu spk kwa kweli
 
First, huu ni msaada. Msaada hauna masharti tena mtoaji ndo anaweza weka masharti sio mpokeaji

Second, familia ya Lissu ilijua gharama zote ni juu yao, msaada umekuja Kama bahati tu, bila hata ya huo msaada bado wao walishaamua atatibiwa Kenya na gharama zote ni zao

Bunge halina wajibu wakumtaarifu yeyote yule, Hili sio jukumu ni msaada Kama hawapendzwi nao warudishe, kwanza walisema hawataki serikali imgharamie

Pesa zimechangwa, zimetumwa timilifu I don't know what is all the fuss about au ndo Mtoto yatima haishi malalamiko

I wish TL a speedy recovery
Yaani wewe umekaa hapo unadhani unaitetea serikali ua unazidisha tu chuki kwa watu
Nani alikuambia Lisu aliomba fedha toka bunge au serikali?
Fedha iliyochangwa kwa akili yako unadhani ni hela ya bunge au bunge alikuwa mchangishaji? Wapo wapumbavu wachache wanaodhani kuwa fedha ile ilikuwa ni ya bunge,lakini tunajua kuwa fedha ile ni michango binafsi ya wabunhe akiwemo lisu mqenyewe, kwa hiyo haihusiani chochote na mashariti ya kifedha ya bunge au serikali.
Fedha ya mashariti ama misaada ya serikali/Bunge tumewaambia hatuitaki kaeni nayo tutachangishana.
Tunajua wapi taifa mmelifikisha kwenye ukaburu,kodi zetu zinatumika kikaburu nk nk
Watanzania tumesusa nyinyi mnachekelea kana kwamba mmepiga bingo, la muhimu Sir God amewakatalia kusudio lenu,kazi tuliyoibakiza ni ndogo sana kuli tutokako hela ya masimango na vimbulu kama nyie kaeni nayo.
 
Mbowe hajui kwamba wiring money takes time up to days sometimes? Businessman gani hajui hilo? Sio kila kitu wafanye siasa
Kwa nini zitumwe tarehe 20 ... acha uzuzu wewe businessman my ass ... wake up!!! this is pure politics bro ...

... utakuja kujua kua this is all about politics siku Baba ako au Mamako au Mtoto wako utakapo mshuhudia akikata roho kwenye mlango wa dokta pale Muhimbili ... bila hata mtu kukuhoa ...

... so far BUFA is no body influence ... utaishia kulia kama bata ...
 
Back
Top Bottom