Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 14,232
- 30,492
Kumbe unajua ni michango binafsi sasa kwanini mnalialia kwanini zimechelewa kutumwa. Sio pesa za umma zile, bunge lingeweza kuamua hata litume mwakani maana ni zao na hawawajibiki kwa yeyote kuhusu ule msaada. Ni posho zao.Yaani wewe umekaa hapo unadhani unaitetea serikali ua unazidisha tu chuki kwa watu
Nani alikuambia Lisu aliomba fedha toka bunge au serikali?
Fedha iliyochangwa kwa akili yako unadhani ni hela ya bunge au bunge alikuwa mchangishaji? Wapo wapumbavu wachache wanaodhani kuwa fedha ile ilikuwa ni ya bunge,lakini tunajua kuwa fedha ile ni michango binafsi ya wabunhe akiwemo lisu mqenyewe, kwa hiyo haihusiani chochote na mashariti ya kifedha ya bunge au serikali.
Fedha ya mashariti ama misaada ya serikali/Bunge tumewaambia hatuitaki kaeni nayo tutachangishana.
Tunajua wapi taifa mmelifikisha kwenye ukaburu,kodi zetu zinatumika kikaburu nk nk
Watanzania tumesusa nyinyi mnachekelea kana kwamba mmepiga bingo, la muhimu Sir God amewakatalia kusudio lenu,kazi tuliyoibakiza ni ndogo sana kuli tutokako hela ya masimango na vimbulu kama nyie kaeni nayo.
Mkichanga pesa zenu mnakila sababu na haki ya kuuliza shingapi, lini na nani katumiwa ila mtu mwingine akichanga huna haki ya kuuliza kuhusu mchango wake.