Quote:-
All this is a very far cry from Mr. Balali's humble beginnings. The Governor was one of the first Tanzanians to win a scholarship to study in the United States, where he studied at Harvard, after making his first trip by boat across the Atlantic Ocean.
This is something, huyu mkuu nina wasi wasi kuwa kuna mengi anayajua maana mtu mwenye elimu nzito hivi hawezi kufanya mambo kijinga jinga tu, apone ajitokeze aweke mambo sawa!
Wazee karibu wote waliofanya kazi kubwa katika mashirika mengi makubwa ya umma Tanzania wanajua kuwa mwaka wa uchaguzi lazima waje watu wa CCM/Ikulu kuchota hela. Hii ni siri iliyo wazi.
Muda umefika chama/ serikali kujiondoa katika mambo ya kuchota pesa na kuingilia utendaji.
Hii ya BOT kuna hela ilichukuliwa na CCM kwenye uchaguzi na nyingine ilichukuliwa na "wazee".
Point nzuri hii. Wakati wa uchaguzi CCM wanakuwa kama hawana akili nzuri na sijuhi kawa walishawahi kuwa na akili nzuri.
Rafiki yangu alikuwa anafanya kazi tumbaku Morogoro na Mwekezaji alihamua kuwapa bonasi wafanyakazi wake kwa kazi nzuri.
Mzungu wa watu wakati anaanda kulipa bonus akaletewa invoice ya CCM kumtaka achangie uchaguzi. Alichokifanya ni kuchukua bonasi ya wafanyakazi wake na kuwapa CCM katika shughuli za siasa.
Tukirudi kwenye mada hivi matatizo ya BOT yametokea katika kipindi cha JK akiwa madarakani au matatizo ya muda mrefu?
Habari za weekend wana JF.
Habari za kuaminika kutokana na mtu ambaye yuko karibu na balali na anaishi hapa US zinasema kuwa mzee huyo alipewa sumu huko Tanzania. Pmoja na utata uliopo juu ya ugonjwa wake ambayo ni kweli anaweza kuwa amukwa ugonjwa mkuu, lakini kwa hali hasa iliyomleta hosptali hapa US ni kwasababu washikaji zake mbao wako serikalini baada ya kusikia soo linakuwa gumu walitaka kummaliza maana wanajua angetoa siri. Watu wenyewe ni viongozi wetu ambao kwa ujumla wanhusishwa moja kwa moja na scandal ya BOT (Usisahau akina Lowassa kwa kuanzia) Sasa baada ya huyu mze kuumwa Tumbo sana, Dr. wake akamshari huyu mzee akimbizwe hapa US. nNgoma hiyo inasemekana alichanganyiwa somewhere huko bongo, lakini yule aliyepewa hiyo kazi ya kuchanganta sumu hakuweka dose yote ndio maana balali ameshinda kifo na ha kwa kuwahishwa kufanyiwa surgery ya tumbo kusafisha tumbo lake. Ugonjwa wake ulikuwa ni siri mno hasa baada ya kugundulika kuwa alipea sumu na wabongo. Huyu mzee ana siri za watu wengi akiwemo Rais wetu. Na hawa wote ni washikaji ake walikula pamoja.
Sasa kwa taarifa ni kwamba balali yuko hotelini ni hoteli ndogo sana ambayo haina misifa ndio maana watu wameshindwa kumjua yuko wapi. Mwanafamilia huyu aliendelea kusema kuwa Mzee huyu ni vigumu kurudi Tanzania kwani ameshajiweka sawa hapa. na huo mkwala wa Kikwete kutengua cheo chake amefanya hivyo akijua kabisa jamaa hatarudi.
Kwa hiyo ndugu zangu suala la BOT, bado ni kitendawili na kumbe kuwa viongozi wa juu sana huko TZ walishirikiana naye na ndio hao walitaka kummmaliza ili asiwataje. Na kwa hali ilivyo huneda asiwe na mda wa kuwataja. Habari kamaili ni kwamba surgery yake ilienda vizuri na yuko hotelini kwa mapumziko na anafatilia habari za ukaribu.
Mwanafamilia huyu anaendesha biashara yake nzuri tu hapa US na mtaji alipewa na Balali.
Shomile:
Mbona unalidhalilisha jina lako bwana!
Wewe ni 'Nsomile' halafu unatuwekea habari kama mtu ambaye hakwenda shule?
Kichwa cha habari ulivyokiweka hakiendani kabisa na habari uliyoitoa. Kwa mfano, ni vyanzo vipi vya uchunguzi; na huku unatuwekea udaku wa mtu aliyepewa mtaji aanzishe biashara?
Ni nani aliyefanya 'uchunguzi' unaouzungumzia na kwa sabau zipi?
Kwa nini huyomwenye kutoa hizo habari asimpeleke huyo mchunguzi wa habari kwa chanzo chenyewe halisi, yaani kwa Balali mwenyewe ili apate nafasi ya kujisafisha jina lake na kuwasuta wabaya wake waliomtakia kifo.
Kwa ujumla, umeifanya habari iwe ya udaku zaidi jinsi ulivyoileta, hata kama ndani yake kuna hata chembe ndogo ya ukweli.
Halafu, mbona umeibandika mara mbili hapa hapa kwenye jamvi la siasa?
[/B]
TEH TEH TEH TEH
Mbona wewe unaanza mambo ya ubaguzi wa kikabila ,mambo gani tena haya ndugu yangu ??? haya ni mambo ya wana nigeria wakikutana tu cha kwanza je wewe ni IBO??
Kwa vile una utata wa majina haya ngoja nikuelezee kidogo ili siku nyingine usipate changanya mambo hii ni kwa faida yako na kwa kutumia advantage hiyo utapata elewa asili yangu ila mimi kabila langu ni MTANZANIA
SHOMILE ni watani wetu na kwa bahati nzuri jina hilo wote tunalitumia kwa maana ile ile yani CHIEF ila kinachotofautisha ni phonetic na jinsi linavyoandikwa
shomile wao wanaandika hivi hili jina OMUKAMA ama MUKAMA
Wajita wanaindika hivi MKAMA .Angalia hizo tofauti.
Harafu kingine unauhakika gani kama nimenda shule??
Swali la nje kidogo. Hivi huyu mzee alikuwa na Doctorate au alikuwa na Masters tu? Nauliza hivi kwa sababu pale BOT alikokuwa akiongoza hawam-address kama Dr. Ballali, bali wanasema Mr. Balali wakati kwa Rashid wanasema Dr. Rashid na kwa huyu mpya wanasema Prof Ndulu.
Dr. ni kitu kidogo sana nashangaa huku nyumbani bongo inakuwa deal sana. Hawa ma-Dr. ndio mafisadi nambari moja, tena wanataka waogopwe. Mimi naona ma-Dr. wote Valuta waende kwenye nyanja zao wakaendeleze huko na wawaachie wanasiasa nyanja yao.