econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,766
- 21,763
Benki Kuu ya Tanzania imetoa taarifa ya muelekeo wa kuanzisha mfumo wa pesa za kidigitali Yani Crypto Currency. Fedha hizo zitatolewa tu na benki Kuu na sio chanzo kingine.
Benki Kuu tayari imeshakaa na mabenki yote Tanzania na kuangalia namna Bora ya kuendesha mfumo wa fedha hizo. Fedha hizo zitafahamika Kama Central Bank Digital Currency.
Na Fedha hizo zitakuwa halali kutumika kwenye soko na ni benki kuu pekee ndio yenye ruhusa na mamlaka ya kutoa fedha hizo.
Hivyo tuchangamkie fursa ya crypto currency nchini Tanzania.
Benki Kuu tayari imeshakaa na mabenki yote Tanzania na kuangalia namna Bora ya kuendesha mfumo wa fedha hizo. Fedha hizo zitafahamika Kama Central Bank Digital Currency.
Na Fedha hizo zitakuwa halali kutumika kwenye soko na ni benki kuu pekee ndio yenye ruhusa na mamlaka ya kutoa fedha hizo.
Hivyo tuchangamkie fursa ya crypto currency nchini Tanzania.