anza kusaka kazi
Komaa nae huyu.....hawa ndo aina ya maboss wasiohitajika duniani. Anafanya familia za wenzake zisiende chooni kwa tamaa za viongo vyake vya uzazi. Hebu fuata ushauri wa Tigga hapo juu faaasta tumkomeshe.
heeey.......nina stress...mimi ni mwajiriwa katika company binafsi,ni mfanyakazi mzuri na napenda kufanya kazi zangu kwa umakini,ofisini nimezoana na watu wengi na hupenda kutaniana na wengi..sasa kuna kaka moja ni kma assistant manager amekuwa karibu yangu na tuko ofisi moja. baada ya kipindi kirefu tumekuwa marafiki wa karibu cha kushangaza niliamishwa ofisi hiyo na boss bila sababu ya msingi... ilinishangaza ila ckupeleleza zaidi cku moja aliniita boss na kuniuliza nina mahusiano gani na yule kaka nilimwambia ni rafki wa kawaida....cku zliendelea kawaida siku nyingine tulikuwa lunch break na nilienda na yule kaka mahali tukala mda c mrefu boss anae aliingia alika counter na alikuwa anatuangalia vibaya sana,hatukuchukua muda tukaondoka..boss bdae alimfata yule kaka na kumpa onyo asimuone tena karibu yangu.....ilinisikitisha sana baada ya wiki moja yule boss aliniambia ananipenda na anatakuwa kuwa mpenzi wangu nilimkata kwani..ni mtu na anafamilia yake...the next day he was mad alikuja ofisini very mad na alimfukuza yule kaka kazi bila sababu.... kinaniuma sanaaa sanaaa kwani yule kaka anajuta kunifahamu na alikuwa anategemea sana kazi yake...cjuchakufanya jamanii...najiskia vibaya sanaa.....i am stressed
Umeketi unaposona hii habari? Kama umesimama kaa chini tukufundishe.
Nenda TAKUKURU, waambie hii ishu. Weka mtego mzuuri tu. Kubaliana naye, popote atakapoamua, tega hilo limtu vuzuri, avue nguo zoote, mchezee mpaka hiyo TAAKUKUU ikiingia imkute akitoka jasho kwa kuvumilia.
Utapata malipo yako, utafidiwa, huyo mkaka atarudishwa kazini na boss mwingine yeyote atakuheshimu tuu.
Kama vipi, mpe tuu kwani anachukua??