Chizi Jambazi
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,869
- 1,470
Nipe mimi ili tumkomoe huyo bosiYaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani.
Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.
Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.
Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha Polisi jamani, hapa nashaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
We ustadhati wangu mamboMtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba.
Umekuwa mtaalamu wa kugundua miandiko ya watu lini?Muandiko wa mwanaume.
Anyway, turudi kwenye uzi.
Hutaki azungumze na wafanyakazi wengine? Maelekezo utawapa wewe?
Hebu tulizana.
Hana mke
Aliniambia tu yupo kwenye relationship
Uwe unajituliza.Umekuwa mtaalamu wa kugundua miandiko ya watu lini?
Jf bana unakuta muuza siso naye anajipa utaalamu ambao hata haujui
Na shule aliishia lapil d 🤣🤣🤣
Bila shaka huyo boss wako ni miongoni mwa vijana wa rikiboy wazee wa kula kimasiharaYaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani.
Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.
Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.
Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha Polisi jamani, hapa nashaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
kuna mwaka fulani ilibaki kidogo ninase kwenye mtego wa mahusiano ya kimapenzi na staff mwenzangu.Yani nimekoma sirudii tena
kuna mwaka fulani ilibaki kidogo ninase kwenye mtego wa mahusiano ya kimapenzi na staff mwenzangu.
nilimla kisela mara mbili halafu baada ya hapo nikamuanzishia mapichapicha akereke na mimi ili kuondoa mazoea. nilifanifanikiwa.
Kwanza umekaa chini ukamwelezea mpenzi wako juu ya hili.....na je kakushaurije????Mimi ni mwanamke
Sasa anazungumza nao in a way unaona kabisa hapa something is not right Alaf Mimi naishia kuumia tu na kulilia chooni.
Kwanza umekaa chini ukamwelezea mpenzi wako juu ya hili.....na je kakushaurije????
Abee Nuzu. Umeamua kuhamia huku?
Ooh usijali dear. Mimi nimeisoma vizuri tu.Nadhani comment yangu umeisoma vibaya uliwekwa picha nikashangaa mbona wanatuma picha ya mtu anaonekana ni Mama mchungaji na si wewe ila baada ya wewe ku like nimepigwa ban kwenye ule uzi ila sio mbaya.
Wewe kwenye ule uzi wako ulisema unataka hit and run, ila sio mahusiano,
Sasa imekuaje tena[emoji23]
Wewe ni Mkewe?
Baki kwenye mipaka yako ya Kazi.
Kumpa MTU penzi haimaanishi ndio uchukue Uhuru wake. Wewe sio Mkewe
Duuh na ukakubali kuwa nae[emoji16][emoji16] hivi wanawaonaje mpk wanawaambia hivyo et yupo kwenye mahusiano
Kiufupi amekudharau Halafu boss huwa ni cha wote pale ofisini
wewe ni ma.lier mkubwa....na itakugharimu
Dream Queen alishakwambia hukutak kumsikia haya sasa tambara la deki utachague uendelee kuumia au uache kazi
View attachment 2735269View attachment 2735269View attachment 2735269