Boss wangu amenitaka kimapenzi

Boss wangu amenitaka kimapenzi

utata mtupu....boss ataka utamu kabla dem hajasepa sio.... huyo mdada anachotkiwa kufanya hapo ni kuharibu tuu,,, otherwise aliwe kimya kimya....maamuzi yote ni juu yake...
 
feedback? boss sa hvi anapiga mzingo ama nini
 
amdanganye kaathirika
ata sign barua fasterrrr
 
amwambie ana matatizo ya kutokwa damu akiwa anasex alafu amwombe pesa huyo bosi nyingi tu ya kutosha kukidhi mahitaji yake amwambie anataka aende kutibiwa akipona atampa mzigo
 
Siku ya ahadi ya kugongwa na bosi wake ndio leo, naamini hata sasa yupo anagongwa. Kwani yeye ni bikira mpaka aulize vitu vya kijinga,hata kama ameolewa,kufikia kuuliza tu tayari ana maamuzi yake moyoni. Cha msingi afanye tu alivyoamua
 
[h=1]1 Wakorintho 6[/h]8 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,

9 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.

Okay Quran inasemaje nayo?
 
Huu ni mwaka wa mabadiliko! Lazima madiliko yaanze na kila mtu, hivyo asilee ugonjwa. Aende takukuru amkamatishe kama ipo ipo tu asiwe muoga. Kwanini atumie cheo kama fimbo? Kwanini asimsaidie halafu baadae ndo amuombe na kama atamkataa ni hiari yake? TUACHE UOGA KTK KUTAFUTA HAKI ZETU
 
Khaa!! Ajabu sana. Kitu umepewa bure wewe unakibania! Unataka kuhama au hautaki?
 
Ushauri mnao mpa haumsaidii. Naona kama mnampeleka motoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom