kampelewele
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 2,998
- 2,414
Akijituma si ndo BOSS ataona wivu wa yeye kuondoka?Kwani utamu yeye hatapata?
Ampe tu ila ajitume ili kuhakikisha boss anatoa uhamisho fastaaaaa.
Akijituma si ndo BOSS ataona wivu wa yeye kuondoka?Kwani utamu yeye hatapata?
Ampe tu ila ajitume ili kuhakikisha boss anatoa uhamisho fastaaaaa.
[h=1]1 Wakorintho 6[/h]8 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
9 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Kwani mzee kaomba kuloweka? si watumie ndomu ili wote wafaidi na uhamisho apate.
Mi nikiwa na njaa nafanya chochote ili nisife na njaa