Jijune mfwene
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 249
- 152
Jamanan hivi dunia inaelekea wapi?....wanawake nawaonea huruma sana katika mambo mnayo pitia katika maisha ..... unakuta mara bosi ananitaka kimapenzi mara mjomba alitoa usichana wangu, mara nilibakwa nikiwa mdogo, mara mume wangu anataka tigo hiv kwanin baadhi ya wanaume tunavya hivyo kuwadhalilisha wanawake ? ....yaani huwa naumia sana nikiona mwanamke anadhalilishwa kwa mambo ya kishenzi, kumpa tu uhamisho mpaka mgegedo, wengine mnashauli ampe pachu kama ni dada yako, ndugu au mdogo wako anafanyiwa hivyo we utaona poa tu...........npm namba yake nimsaidie kama hutojali.
Mhusika wa kisa hiki kama namfahamu hivi
Tena ni msomaji wa mada za jf japo ajajiunga tena hasa jukwaa hili la raha na vilio vya kila aina