Boss wangu amenitaka kimapenzi

Boss wangu amenitaka kimapenzi

Kuna jamaa hapa anasema " kwan akimpatia boss,boss ataondoka nayo akaipambe kwake? " yaani mbavu sina hapa
 
kuna mwenzako anajuta huku msimamizi wa mtihani olevel alimwomba kidude kwa sharti apewe kidude ili amtajie majibu akakataa , mwenzake rafiki yake akachangamkia fursa akatoa mzigo na majibu akapewa na mtihani akafaulu yeye akafeli . matokeo yake mwenzake mwalimu yeye anauza tu pombe na anawapa walevi wanaisekendua bure kabisa. Nakushauri mpe kwani mtoto wa kike hatakiwi kupata tabu hapa duniani.
 
kuna mwenzako anajuta huku msimamizi wa mtihani olevel alimwomba kidude kwa sharti apewe kidude ili amtajie majibu akakataa , mwenzake rafiki yake akachangamkia fursa akatoa mzigo na majibu akapewa na mtihani akafaulu yeye akafeli . matokeo yake mwenzake mwalimu yeye anauza tu pombe na anawapa walevi wanaisekendua bure kabisa. Nakushauri mpe kwani mtoto wa kike hatakiwi kupata tabu hapa duniani.

khaaaaa
 
mchoyo huyo kwan nani amjui, alinikera sana na atarudi mshez anamnyima hiki kitobo mzee wangu. kwan wangap wamepita hapo?
 
kuna mwenzako anajuta huku msimamizi wa mtihani olevel alimwomba kidude kwa sharti apewe kidude ili amtajie majibu akakataa , mwenzake rafiki yake akachangamkia fursa akatoa mzigo na majibu akapewa na mtihani akafaulu yeye akafeli . matokeo yake mwenzake mwalimu yeye anauza tu pombe na anawapa walevi wanaisekendua bure kabisa. Nakushauri mpe kwani mtoto wa kike hatakiwi kupata tabu hapa duniani.
si ndio bana wanawake sijui wakoje. wanajidai wanaringa halaf unakuta kila gia ishaingia hapo, bora ata angekua bikra bac
 
Ni hivi huyo mwanamke aende kwa bosi akamrekodi wakati anamuomba uchi kwa kisingizio cha kupewa huduma.
Then aitumie kama leverage kupata hiyo sign yake.
 
Me nafikiri atengeneze cheti cha kuwa kaathirika kisha aende nacho kwa boss kisha amuambiae hv 'siyo kuwa nakuzungusha ukwel ni kuwa nimeathirika na cheti hiki hapa,ndio maana sitaki kukuua makusudi na ndio maana nataka kuhama ili nikae karibu na eneo lenye matibabu'...

boss mwenyewe ukute mwathirika sa,atakisugua hadi kitoe cheche
 
Dah ushauri wa humu ndani aiseeee ni kuua tu.Hamna namna yoyote coz maisha yenyewe ndiyo haya,ampe tu.
 
Toa mzigo upate huduma, umepewa bure uchoyo wa nini?
 
mpe agonge kidogo tu.....si wanagonga wengine wa njaa tu...muonyeshe halafu ataingia kingi...hautaki vitz?
 
Kwa msaada aje twende kwa DC tukafunge ndoa ili apate cheti, halafu ndo aombe uhamisho kwa kigezo cha kumfuata mume wake. Lazima ahame yaani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom