BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,160
- Thread starter
- #21
Weeeeeeeeeee unataka nikale wapi?
Unaandika barua ya kuacha kazi,halafu unamtupia usoni!
Unaandika barua ya kuacha kazi,halafu unamtupia usoni!
Inategemea kaniudhi kwa jambo gani! Kulingana na hilo jambo ndio nitajua nichukue hatua ipi.
Daima, mtaka cha uvunguni, lazima ainame. Inategemea uko vp kimaisha. Lakn kama maisha yako ndo yana tegemea chanzo hcho kwa kipato, ni bora kuvumilia. Kwani hakuna maisha dunia hii yasiyo na changamoto. Wangu mtazamo.
dah....heri yangu mimi mwenyewe ni boss.....
Mwombee tu, nawe mwombe Mungu akupe hekima ya kuendana naye. Usije ukaishia kwenda kwa wachawi.
dah,me mwenyewe imenitokea j5 ya juz bos ananigombesha cpo ofcn wakt ni lunch time. me nimeamua kuvumilia while seeking for capital ili nijiajir. dah nlichukia sana
kumbuka usemi usemao' the boss is always right'
kweli kuajiriwa utumwa....... Acha nikakope niongeze mtaji....
nimeamua niende town nikatafute viatu........inakera sana
Hehehe! Kumbe una jeuri ya pesa eeh? Hivi boss wako anakuudhigi tarehe 15? Lol
Unaandika barua ya kuacha kazi,halafu unamtupia usoni!
hapo kuna wengine huwa wanaamishia ugomvi nyumbani kwa mkewe/mumewe ila Mimi huwa bosi akiniudhi naenda chooni natukana kinoma nikiona nimeridhika narudi kupiga kazi kama kawa
Weeeeeeeeeee unataka nikale wapi?