Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Nalala ila sisinzii !
nasinzia nikikuwaza....
Nalala ila sisinzii !
nipe nyingine gambachovu.... Nakuaminia
nasinzia nikikuwaza....
Mimi bwana namsafiria pande za Mlingotini au Pemba/Unguja mitaa ya Mchambawima.
kama anavaa miwani, unamvua,kisha unaikanyaga au unaitimba!
kwa mi kichwa ngumu, nipe nikupe. Sipumbazwi, na niko tayari kwa lolote.
Akiniudhi kwa maneno machafu namie nammwagia yangu, kwa vitendo na mie namuonyesha jeuri yangu.
I feel you mkuu.
Only way ni kumface huyo bosi wako, talk to him/her. Asikufanye urudi home na stress kuzimalizia kwa wengine si vizuri ati!!
Si uanze mdogo mdogo mkuu au elimu kama yangu.
Kama boss ni kidume na "usafiri" wako unauamini, mvalie ki skin tight halaf jipitishe halaf mwambie kwa lafudhi ya kitanga "Si wajifanya mnoko weye, wallahi usafiri wangu utauona hivi hivi, wataula wengine ela kwa weye ng'o"
Nakasirika ila sinuni.
By Preta "Tafuta movie inaitwa.....Terrible Bosses......utafurahi.."
Me niliwahi kuona movie moja inaitwa " Horrible Bosses" sijui kama ndo ze same au tittle za kichina?
i wish ningewezd hivyo