BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Ukikikalia kiti chake, kuna mwingine atakuwa juu yako tena.
Labda ujiajiri.
Mie nikiuudhiwa kupindukia, nabega mabegi yangu kwa siku hiyo, naita siku hata kama ni saa 2 asubuhi.
Najitahidi kusave hela nyingi zaidi na Mimi niwe Bocy.
Mtemee mate...
Sasa mie nimekasirika sana sasa hivi
Lakini nimejikasirikia mwenyewe tu wala haihusiani na bosi
Sasa nifanyeje?