Soul21
Senior Member
- Apr 8, 2017
- 195
- 329
Wanafunzi wanaokosa kwenda kidato cha tano na sita huwa wanapangiwa vyuo.
Picha: Daily News
Ila nilichogundua mkakati huu unalundika wanafunzi wengi kusoma koz nyingi ambazo hazina athari ya moja kwa moja kwenye maisha yao zaidi baada ya kuhitimu wanakuja kuwa na mawazo ya ajira. Mfano, mipango, Au biashara.
Watoto wengi wanatoka familia za chini huku wakitumia gharama kubwa.
kwa nini wasiende VETA kupata ujuzi ambao siku akihitimu hawezi kukosa elfu tano na kama maarifa ya biashara apewe akiwa VETA.
China wanachofanikiwa si kwamba wana akili sana bali wanatumia ujuzi wa mikono na akili kuzalisha bidhaa ambazo mwenye unaona za hovyo.
Lakini kupitia veta za ushonaji, ujenzi, uchomeleaji tunaweza kuzalisha bidhaa ambazo tunaagiza china tena hazina ubora.
Hitimisho, Angalia koz unayoenda kusoma uchague kati ya kuenda kumeza taarifa na kupata ujuzi wa moja kwa moja ni kipi bora.
Picha: Daily News
Ila nilichogundua mkakati huu unalundika wanafunzi wengi kusoma koz nyingi ambazo hazina athari ya moja kwa moja kwenye maisha yao zaidi baada ya kuhitimu wanakuja kuwa na mawazo ya ajira. Mfano, mipango, Au biashara.
Watoto wengi wanatoka familia za chini huku wakitumia gharama kubwa.
kwa nini wasiende VETA kupata ujuzi ambao siku akihitimu hawezi kukosa elfu tano na kama maarifa ya biashara apewe akiwa VETA.
China wanachofanikiwa si kwamba wana akili sana bali wanatumia ujuzi wa mikono na akili kuzalisha bidhaa ambazo mwenye unaona za hovyo.
Lakini kupitia veta za ushonaji, ujenzi, uchomeleaji tunaweza kuzalisha bidhaa ambazo tunaagiza china tena hazina ubora.
Hitimisho, Angalia koz unayoenda kusoma uchague kati ya kuenda kumeza taarifa na kupata ujuzi wa moja kwa moja ni kipi bora.