Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 5,599
- 1,798
mataahira ya Ccm
Hivi jamani, kuna chama chenye mataahira kibao kuliko CHAGADEMA!
mataahira ya Ccm
Hii thread haina tofauti na hekaya ya mfalme Juha.
Salaam wana jf,
Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.
CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.
Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.
Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.
Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.
Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.
Salaam wana jf,
Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.
CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.
Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.
Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.
Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.
Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.
Pumbaafu! amani na utulivu tulivileta wewe na mimi na sio CCM. What is CCM? Ni chama cha matajiri, ni chama cha kurithishana madaraka, ni chama kinachowasurubu wanyonge na kuwakweza wenye sauti na mali, ndicho chama kilichosheheni mafisadi walarushwa na wenye uchu wa madaraka, tena ni chama kilicholeta vita kati ya vijana na ajira, ni chama kilicholeta vita kati ya wasomi na viongozi, ni chama kilicholeta gepu kubwa kati ya walionacho na wasionacho, pia ni chama kilichosahau kilikotoka, kilichogomea maoni ya wanainchi wote na kuwapuuza, ndicho kilichoibadili siasa bora kuwa mambo ya uongo, kimejaa ahadi za uongo, . NAOMBA WATANZANIA WASIDANGANYIKE TENA!
Ukiona mtanazania anayeandika neno 'serekali' kama mleta mada ujue umri umeshampiga chenga.
Achanganye mawazo yake na KINGUNGE.
Kuliko nijitambue kwa akili za kifala na za kufurahia upuuzi unaendelezwa na magamba ni bora nisijitambue maana sitokua na kesi ya kujibu siku ya hukumu kwa kufurahia watanzania wenzangu wakiteseka! unafiki unao uendekeza kwa ajili ya tumbo utakupeleka pabaya!Hujitambui siku akili zikikurudi utajitambua
ila utaisha kwa kuendelea kuongozwa na magamba ambao wao ndo chanzo cha hali hiyo kwa miaka hamsini!huo ujinga na umasiki hautoisha kwa akili za kushikiwa na mbowe.
ndi naona mwandishi anajifunza hata kuandika nadhani ametoka msituni muda si mrefu vipi malipo yake kafikia elf7 kweli?Sasa matusi ya nini? Jifunzeni ustaarabu nyie wafuasi wa UKAWA.
Sasa matusi ya nini? Jifunzeni ustaarabu nyie wafuasi wa UKAWA.
kushukuru anaandika usiposhuruUkiona mtanazania anayeandika neno 'serekali' kama mleta mada ujue umri umeshampiga chenga.
Achanganye mawazo yake na KINGUNGE.
tuna ushahidi wa picha za mnato na hata video za namna ccm inavyotesa wananchi kubaka kuuwa na kufanya unyama ambao hauzungumziki tukiweka humu utashindwa useme niniSalaam wana jf,
Amma baada ya salam naomba kuwasilisha maoni ya waliowengi kama ifuatavyo.
CCM imefanikiwa kutuongoza kuanzia Chama na serekali mpaka vyama vingi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 sasa tulio wengi tume enjoy amani,utulivu na mshikamano.
Tumepita kwenye changamoto mbalimbali na nyingi tulizishinda mpaka sasa nchi yetu imekuwa mfano wa kuigwa dunia nzima, usiposhuru dogo hata kubwa huwezi kushukuru.
Lakini sio wananchi pekeyake hadi wanyama tunaowafuga na kwenye hifadhi zetu wote wame enjoy hali tulivu kiasi cha marais wa marekani kufikia hatua na kusema amma hakika NGORONGORO ni pepo ya wanyama.
Lakini waswahili wanasema 'SHUBIRI HUONJWA' kuna kundi la wanasiasa linajiita UKAWA nasema wanajiita kwasababu hakuna katiba ya UKAWA wala USAJILI wala OFISI isipokuwa tunajua kwamba wanatoka kwenye vyama vikuu vya upinzani.
Lakini ikiwa kushika nafasi yapili kwenye uchaguzi mkuu tayari watu wengine wanamili nyumba3,kasri dubai,bilions uswizi,wengine wameitwa wasaliti na wengi kupigwa matofali.