Bora miaka 50 ya CCM kuliko miaka 5 ya UKAWA

Bora miaka 50 ya CCM kuliko miaka 5 ya UKAWA

Hoja yanju imesimamia hapo, kama kuna utulivu na amani kama unavyojitanabaisha hayo matukio niliyoyaorodhesha yangetokea? na je serikali ya CCM imechukua hatua gani juu ya hayo matukio ili kuyazuia yasiweze kutokea tena?


mimi naomba uniletee kamusi yoyo au tafri yoyote kutoka katika lugha yoyote duniani na nje ya dunia inayoonyesha amani ni maisha bora.
Kuhusu hayo matukio nimeshakueleza kwamba yanauzwa na yananunuliwa lakini amani ni kitu kingine kabisa.
Hapohapo ulipo unaweza ukaamua kujitoa ufahamu au ukachochewa ukabadilika na ukajisikia hauna amani kwasababu zilizo nje ya sababu naomba unielewe ndugu.
Nimekutajia S.Sudan kwasabb mpaka sasa kuna maiti zaidi 2000 zimekosa mzikaji.
Nenda Libya nchi iliokuwa na maisha bora kwa wananchi wake Africa.leo hii hata kama watamaliza Trilions of Dola hakuna mahala watakapoinunua AMANI,UTULIVU au MSHIKAMANO
 
mimi naomba uniletee kamusi yoyo au tafri yoyote kutoka katika lugha yoyote duniani na nje ya dunia inayoonyesha amani ni maisha bora.
Kuhusu hayo matukio nimeshakueleza kwamba yanauzwa na yananunuliwa lakini amani ni kitu kingine kabisa.
Hapohapo ulipo unaweza ukaamua kujitoa ufahamu au ukachochewa ukabadilika na ukajisikia hauna amani kwasababu zilizo nje ya sababu naomba unielewe ndugu.
Nimekutajia S.Sudan kwasabb mpaka sasa kuna maiti zaidi 2000 zimekosa mzikaji.
Nenda Libya nchi iliokuwa na maisha bora kwa wananchi wake Africa.leo hii hata kama watamaliza Trilions of Dola hakuna mahala watakapoinunua AMANI,UTULIVU au MSHIKAMANO

1. Kama kuna amani, nini kilimuua daudi mwangosi.....kwa kosa gani, na aliyemuua yupo wapi?

2. kama kuna amani enzi za uhai wake, Dotopile ukiwaona mzuzuri alimuuwa mbele ya hadhara dereva wa Daladala, je serikali ilichukuwa hatuagani dhidi ya ditopile

3. kama kunaamani inakuwaje kwenye mikutano ya wapinzani kunakuwa na malundo ya FFU, magari ya maji washa nk nini sababu.

4. Kama kuna amani vipi mabomu ya soweto, ulasin na mianzin- Arusha hiyo ni amani?

5. Endapo ndani ya familia hakujapatikana chakula wala maji kwa siku mbili tu, kutakuwa na amani?
 
1. Kama kuna amani, nini kilimuua daudi mwangosi.....kwa kosa gani, na aliyemuua yupo wapi?

2. kama kuna amani enzi za uhai wake, Dotopile ukiwaona mzuzuri alimuuwa mbele ya hadhara dereva wa Daladala, je serikali ilichukuwa hatuagani dhidi ya ditopile

3. kama kunaamani inakuwaje kwenye mikutano ya wapinzani kunakuwa na malundo ya FFU, magari ya maji washa nk nini sababu.

4. Kama kuna amani vipi mabomu ya soweto, ulasin na mianzin- Arusha hiyo ni amani?

5. Endapo ndani ya familia hakujapatikana chakula wala maji kwa siku mbili tu, kutakuwa na amani?

1.Daudi mwangosi alikufa kwa ajali,kama unaushahidi kuzidi hapo nipe.
2.Ditopile alipelekwa mahakamani ili sheria ifate mkondo.kama kuna zaidi lete.
3.FFU kwenye mikutano yenu ni kazi yao usitake kuwapangia na kama wangekuwa wachache bado ungesema.
4.soweto muulize mbowe ndie alieficha video hadi leo.
5.kuhusu swali la tano. Wenzenu miaka ya nyuma 1967 na 1982 hali ilikuwa mbaya na amani iliendelea kutawala.
 
Nafikiri umeyaandika haya kwa kuwa haujawahi kukutwa na janga lolote lililosababishwa na utawala huu dhalimu, ebu tafakati kwa makini na soma haya matukio hapa chini ambayo hadi sasa hakuna hatua zozote zinazofanyika kuwatafuta wahusika huku damu za hawa watanzania zikiwa zimemwagika na wewe kuandika ujinga eti nchi ya amani na utulivu
1. Aliyemmwagia Tindikali Said Kubenea
2. Aliyemteka na kumtesa Dr. Ulimboka
3. Aliyemuua Mwangosi
4. Waliomuua kwa kumchinja Mwenyekiti wa CHADEMA kule Usariver
5. Wale vijana wa UVCCM waliowashambulia wabunge wa CHADEMA kule Mwanza
6. Waliomteka na kumtesa Kibanda
7. Waliomuwekea sumu Mwakyembe
8. Waliomgonga kwa makusudi Mwakyembe kwa lengo la Kumuua
9. Waliomuua yule Kada wa CHADEMA kule Igunga
10. waliolipua Bomu katika Mkutano wa CHADEMA pale Soweto
11. Waliolipua Kanisani Olasit, Yule kijana waliyemrundikia zile tuhuma sidhani kama ni mtuhumiwa halali.
12. Waliomuua Padri kule Zanzibar
13. Waliowamwagia Tindikali wale Mabinti wa UK
14. Waliowatuma akina Masogange kupeleka ile Sembe Kule South Africa
15. waliomshambulia hadi kusababisha kifo chake Dr. mvungi.
16. Waliosababisha vifo kutokana na kuanguka kwa lile ghorofa pale Dar es salam
17. waliomshambulia Mh. nassary hadi kusababisha kulazwa kwa siku kadhaa Hospitali ya Taifa Muhimbili

18)Waliomuua raisi wa kwanza wa zanzibar
 
Ushapewa pesa saa unatoa hoja ambazo hazina msingi taifa gani la amani wakati hapana elimu,umasikini,maandamano kila kukicha.

Jamani waTZ wenzangu sio tu kama kila mtu ana maoni tofauti eti amepewa pesa..... Basi hata na wewe umepewa pesa kukanusha hoja? Wote tumelipwa!
 
Mkuu, uko sawa kichwani? Acha ujinga huo Nape, wewe bado mtoto sana hawa wazee wanakutumia tu mwisho wa siku watakufila hao hao mwishowe ukajiua. Usipende kuongelea vitu ili usifiwe, jiulize....kuna nini cha maana walichokifanya CCM toka enzi za TANU tupate uhuru mpaka hapa tulikofika? Au jiulize marehemu baba yako alifaidika na nini ndani ya chama? usiwe mjinga kihivyo, you are educate a little to be stupid and blind folded kwa ajili ya uchu wa madaraka huko mbele.
 
Mkuu, uko sawa kichwani? Acha ujinga huo Nape, wewe bado mtoto sana hawa wazee wanakutumia tu mwisho wa siku watakufila hao hao mwishowe ukajiua. Usipende kuongelea vitu ili usifiwe, jiulize....kuna nini cha maana walichokifanya CCM toka enzi za TANU tupate uhuru mpaka hapa tulikofika? Au jiulize marehemu baba yako alifaidika na nini ndani ya chama? usiwe mjinga kihivyo, you are educate a little to be stupid and blind folded kwa ajili ya uchu wa madaraka huko mbele.


Nasikitishwa na uwezo wako ambao umeshindwa kuona ninachokizumzia.
Sizungumzii kupata au kukosa nazumzia amani yetu,utu wetu na ujamaa wetu.
 
18)Waliomuua raisi wa kwanza wa zanzibar


raisi wa zanzibar aliuwawa wakati wa nyerere sasa ni sawa na kusema nyerere ndie angeweza kuwa na majibu.Lakini hizo zote nimesema ni changamoto mbalimbali lakini lazima tukubali amani iliopo ni majaala ya kuwepo kwa viongozi wenye hekima katika kutatua migogoro ambayo ambayo yangepelekea machafuko mfano Muafaka wa Zanzibar.
 
18)Waliomuua raisi wa kwanza wa zanzibar


raisi wa zanzibar aliuwawa wakati wa nyerere sasa ni sawa na kusema nyerere ndie angeweza kuwa na majibu.Lakini hizo zote nimesema ni changamoto mbalimbali lakini lazima tukubali amani iliopo ni majaala ya kuwepo kwa viongozi wenye hekima katika kutatua migogoro ambayo ambayo yangepelekea machafuko mfano Muafaka wa Zanzibar.
Si kama ni kama ni mambo yaliotokea tu kama bahati nasibu.
 
1.Daudi mwangosi alikufa kwa ajali,kama unaushahidi kuzidi hapo nipe.
2.Ditopile alipelekwa mahakamani ili sheria ifate mkondo.kama kuna zaidi lete.
3.FFU kwenye mikutano yenu ni kazi yao usitake kuwapangia na kama wangekuwa wachache bado ungesema.
4.soweto muulize mbowe ndie alieficha video hadi leo.
5.kuhusu swali la tano. Wenzenu miaka ya nyuma 1967 na 1982 hali ilikuwa mbaya na amani iliendelea kutawala.

MWANGOSI%2BANAMCHEKEA%2BRPC.jpg

1. Mauwaji ya Daudi mwangosi

kamanda wa Jeshi la polisi wakati huo bwana Kamuhanda akisimamia shughuli ya mauwaji na polisi kutekeleza amri yake kama inavyoonekana katika picha.


2. kama kuna amani kwanini inakuwa hivi?
1017202_524497047598428_1754456370_n.jpg



bomu.jpg


Huyu jamaa anafahamu anamtumikia nani kuamrisha kinachofanywa na hao polisi hapo juu na hapa chini.

995826_543268692401280_1558587643_n.jpg


355_olasiti.jpg
 
raisi wa zanzibar aliuwawa wakati wa nyerere sasa ni sawa na kusema nyerere ndie angeweza kuwa na majibu.Lakini hizo zote nimesema ni changamoto mbalimbali lakini lazima tukubali amani iliopo ni majaala ya kuwepo kwa viongozi wenye hekima katika kutatua migogoro ambayo ambayo yangepelekea machafuko mfano Muafaka wa Zanzibar.
Si kama ni kama ni mambo yaliotokea tu kama bahati nasibu.


Huko mbeya haya ndiyo majanga ya ccm kwa raia na mshenzi kama wewe kwa kuvimbiwa fedha ya ufisadi unahubili kisichokuwepo.

IMG-20131002-WA0027.jpg


Mbeya+wananchi.jpg


Mbeya+mapolisi.jpg

IMG-20131002-WA0010.jpg
 
Nasikitishwa na uwezo wako ambao umeshindwa kuona ninachokizumzia.
Sizungumzii kupata au kukosa nazumzia amani yetu,utu wetu na ujamaa wetu.

Huko mtwara watu wanaporwa kwa nguvu utajiri wao bila kufanya majadiliano ya vipi watanufaika na rasmali zao.
935336_617800374898026_1690510983_n.jpg


mtwara.jpg

944107_492479157485725_1839492637_n.jpg


603786_492435524156755_883655108_n.jpg


319450_orig.jpg


8650274_orig.jpg
 
Kuna jamaa aliwafananisha UKAWA na Boko Haram, nilicheka sana.

Baadhi ya watoto wa mitaani wakiwa wamelala nje kutokana na kukosa sehemu za kulala.Baadhi yao kwa kutaka sehemu nzuri za kulala na chakula kizuri huwa tayari kufanyiwa vitendo vibaya. Picha na Mkataba

toto.jpg

Wauwaji ni ccm na wanawezafananishwa na wauwaji wa aina yoyote, angalia maisha ya watoto wa mitaani huko sumbawanga.
 
mjinga wewe tutolee upuuzi wako kama una tatozo la kufikiri kaaguliwe kwanza. Acha ukusifia upuuzi
 
Nasikitishwa na uwezo wako ambao umeshindwa kuona ninachokizumzia.
Sizungumzii kupata au kukosa nazumzia amani yetu,utu wetu na ujamaa wetu.



Amani hii ndiyo inakufanya wewe na wananchi wengi kuwa wajinga. Wakati umefika viongozi lazima wachukuliwe hatua na kuwajibishwa. Si unaona wenzetu Kenya hawana mjadala wao ni kutoa roho tu kukomesha use.nge na kushikisha adabu viongozi. CCM wao wanajifanya wababe, hawataki kuendeleza nchi zaidi ya kutuibia na kushindana nani anaiba zaidi huku wakisahau kwa makusudi majukumu yao. Upinzani wamekuja kubadilisha hali iliyopo ila kwa makusudi CCM wanawazushia propaganda ili waonekane wajinga kumbe wajinga ni sisi wananchi tunaokaa na kuishabikia CCM wakati wametu.fila mpaka tuko hoi.
 
Hujitambui wewe!amani gani wakati machinga,mama lishe,watoto na mama wajawazito pia albino wanataabika ktk nchi hii?jitafakari na hizo pumba zako.
 
Back
Top Bottom